nyinyi kweli mna kasoro hapa mnamsifia mtu ambaye hata watoto wake wa kuwazaa wanajuta kuzaliwa nae.hawana uwezo hata wa kuwa makatibu kata kwa maana alishindwa hata kuitake care familia yake.tumegubikwa watanzania tuna maradhi yasiyo na tiba may hapo alipodai uhuru kwa manufaa yake leo hii bila fikra za nyerere za kibinafsi usingelisema nchi haikuwa na kitu alipoichukua.shame on him. Think twice.
Sahiba.
Companero said:Kuna tofauti kati ya 'free acccess to education' na 'free education'. Hatusemi elimu ilikuwa bure wakati wa Mwalimu.
andindile said:Tusingeweza kuwafikia Kenya kwa kuwa baada ya Mwalimu kuondoka mambo yalikwenda kinyumenyume. Kasi ya upanuzi wa Vyuo ilikwenda taratibu mno. Angalia Jedwari hapo chini angalia Idadi ya wanafunzu waliojiunga Chuo kikuu wakati Mwalimu anaondoka na na wakati Mwinyi anaondoka madarakani iliongezeka kiasi gani
Kuvua samaki ndio tatizo kubwa. Nimeuliza swali mara nyingi hapa, ni nani aliye-finance sera za elimu? Hakuna anayetoa jibu.
Huwezi kusomesha watu bila kuwa na resources. Wahisani wali-pump money Tanzania hili baadaye tuweze kujitegemea wenyewe kiuchumi (KUVUA SAMAKI).
KUVUA SAMAKI hakukutokea. Na wahisani wakiacha kutoa misaada, wengi watarudi katika maisha ya Ujima.
Companero,
..hawa wanaodai wakati wa Mwalimu Nyerere elimu ilikuwa bure, au wanaposema "tulikuwa tukisoma bure," unafikiri wanazungumzia "free access to education"?
..kuna dhana iliyojengeka wakati ule wa Mwalimu kwamba serikali ina uwezo mkubwa sana na inaweza kufanya kila jambo. dhana hiyo ndiyo inayokwaza hata baadhi ya wachangiaji humu ndani, ambao ni wasomi waliobobea, kuamini kwamba Mwalimu aliwasomesha bure.
andindile,
..kwasababu hapa tunazungumzia mafanikio ya utoaji elimu wakati wa Mwalimu Nyerere, ingekuwa vizuri tukawaacha pembeni Mzee Mwinyi na Mkapa.
..je, wakati wa Mwalimu Nyerere Tanzania ilipata kuwa na wanafunzi wengi zaidi Chuo Kikuu kuliko ndugu na watani wetu Kenya?
Companero,
andindile,
..kwasababu hapa tunazungumzia mafanikio ya utoaji elimu wakati wa Mwalimu Nyerere, ingekuwa vizuri tukawaacha pembeni Mzee Mwinyi na Mkapa.
..je, wakati wa Mwalimu Nyerere Tanzania ilipata kuwa na wanafunzi wengi zaidi Chuo Kikuu kuliko ndugu na watani wetu Kenya?
Companero,
andindile,
..kwasababu hapa tunazungumzia mafanikio ya utoaji elimu wakati wa Mwalimu Nyerere, ingekuwa vizuri tukawaacha pembeni Mzee Mwinyi na Mkapa.
..je, wakati wa Mwalimu Nyerere Tanzania ilipata kuwa na wanafunzi wengi zaidi Chuo Kikuu kuliko ndugu na watani wetu Kenya?
FMES said:- Mwalimu hakuwa na tabia za kula mpaka mtaji, baada ya Mwalimu kuondoka tu tukaanza kula mtaji wa elimu tunaopewa na wafadhili, sasa ulitaka baada ya kugundua kua tunakula mtaji wafadhili wafanye nini watuongezee tu mtaji tuendelee kuporomosha majumba Mbezi na Kunduchi?
- Ya uchumi na ya elimu hayaingiliani, tulikuwa tunapewa hela za elimu peke yake na uchumi peke yake, lakini still kama leo hatuwezi kuvua sio kosa la Mwalimu, kwa sababu what Mwalimu has to do na Richimonduli na Dowans?
Haya ya sasa ni matatizo yetu wenyewe ya kuruhusu njaa yetu kutudumaza kimaendeleo. Elimu yetu tumeiua wenyewe kwa sababu ya kuendekeza njaa yetu, sasa tusimlaumu Mwalimu, na yeye ndio ana ya kwake mapungufu lakini sio la elimu, ni hapana.
FMES!
Tusingeweza kuwafikia Kenya kwa kuwa baada ya Mwalimu kuondoka mambo yalikwenda kinyumenyume. Kasi ya upanuzi wa Vyuo ilikwenda taratibu mno. Angalia Jedwari hapo chini angalia Idadi ya wanafunzu waliojiunga Chuo kikuu wakati Mwalimu anaondoka na na wakati Mwinyi anaondoka madarakani iliongezeka kiasi gani
[FONT=arial, helvetica, times]University undergraduate enrollment in Tanzania, 1985-2000[/FONT]
1985/86 1995/96 96/97 97/98 98/99 99/200
University of Dar es Salaam 2,987 3,544 3,770 4,131 4,172 4,816
Muhimbili University College of Health Sciences -- 357 379 443 548 626
[FONT=arial, helvetica, times]
[FONT=arial, helvetica, times]UCLAS -- -- 91 [FONT=arial, helvetica, times]463 501 728 [/FONT][/FONT]
[FONT=arial, helvetica, times][/FONT]
[FONT=arial, helvetica, times]Sokoine University of Agriculture [FONT=arial, helvetica, times]480 1,100 1,040 1,253 1,300 [FONT=arial, helvetica, times][FONT=arial, helvetica, times]1,425[/FONT][/FONT][/FONT][/FONT]
[FONT=arial, helvetica, times][FONT=arial, helvetica, times][/FONT][/FONT]
[FONT=arial, helvetica, times][FONT=arial, helvetica, times]Others -- ---- ---- ------ -------- 1,459[/FONT][/FONT]
[FONT=arial, helvetica, times][FONT=arial, helvetica, times][/FONT][/FONT]
[FONT=arial, helvetica, times][FONT=arial, helvetica, times]Total 3,467 5,001 5,280 6,290 6,521 [FONT=arial, helvetica, times]9,054[/FONT]
[/FONT][/FONT][/FONT][FONT=arial, helvetica, times][FONT=arial, helvetica, times][FONT=arial, helvetica, times][/FONT][/FONT][/FONT][FONT=arial, helvetica, times]Source: MSTHE, Some Basic Statistics. [/FONT]
andindile said:Tanzania hauwahi kuwapita Kenya na hata sasa ambapo tuna vyuo kama utitiri bado hatujawafikiwa. Why? Wao wakati wa ukoloni miundombinu ya elimu ilikuwa more advanced zaidi ya Tanzania. Tanzania hawakuwa na chuo kikuu wakati wa kupata uhuru. Kwa Taarifa yako, TANU ndio waliotoa jengo lao kwa ajili ya kuanzishia kitivo cha sheria mwaka 1961. Sasa angalia hali iliyokuwepo na jitihada zilizofanyika
FMES said:Mkuu JokaKuu, heshima mbele sana,
- Mimi nilisoma bure nikiwa na maana wazazi wangu sikuwahi kuwaona wakilipia anything ili mimi kwenda shule, mdogo wangu mmoja alisoma shule ya kulipa niliwaona wakihangaika kumlipia shule wka sababu kuna wakati hela za shule yake zikicheleweshwa kulipwa alikuwa haendi shule mpaka zilipwe,
- Ndio maana ninaamini kwa 100% kwamba nilisoma bure, infact hata warrant za basi na treni ya kwenda shule nilikuwa ninapewa bure na serikali, nikiwa primary nilikuwa ninapewa uji bure wa bulga wenye picha ya mikono imeshikana na maneno ya JFK, na pia kila mwisho wa wiki nilikuwa ninapewa kopo la mafuta ya kupikia bure shuleni lenye maneno ya JFK, na pia mtaani kulikuwa na gari la kampuni ya Colgate & Palmolive, lililokuwa linagawa sabuni na dawa ya meno bure, Cinema za Charlie Champlin ilikuwa mchangani bure.
- Naona mna maneno mengi sana ya kujaribu ku-explain kwamba haikuwa bure, well mimi sikuwahi kulipia elimu kwa hiyo kwangu ilikuwa ni bure.
Respect
FMEs!
andindile,
..miaka 24 ya uongozi bora na siasa safi za Mwalimu Nyerere kwanini tulishindwa kuwafikia na kuwapita Wakenya?
..miaka ya 60 Kenya walikuwa wanaleta wanafunzi kuja kusomea Sheria UDSM. sasa usije ukashangaa tangu walipoacha kuleta wanafunzi UDSM wanahitimisha wanasheria wengi kuliko Tanzania.
..zaidi, mmejisifia kwamba Tanzania tulikuwa tunaongoza Afrika kwa kuandikisha wanafunzi shule ya msingi, je kwanini sisi tumeendelea kuwa nyuma ktk idadi ya wahitimu ktk vyuo vikuu?
FMES,
..ukweli ni kwamba serikali ilikuwa ikigharimia elimu kutokana na fedha za kodi ya wananchi, pamoja na misaada kutoka nje.
..sasa kama una taarifa za uhakika kwamba wazazi wako walikuwa hawalipi kodi ya aina yoyote, basi wewe ulipata elimu bure 100%.
Semilog said:na TANZANIA ilikua inapeleka wanafunzi MAKERERE, na KENYATTA UNIVERSITY, HIYO ILIKUA EXCHANGE PROGRAM, WATU WENGI WA ZAMANI WA TANZANIA WAMESOMA MAKERERE
si kweli kwamba mwalimu hakutaka tusome. Alitaka sana, but he went about it the wrong way. Alikamata, kwa nguvu, shule za makanisa na shule nyingine za watu binafsi. that was a colossal mistake.
leo hii, tungekataza shule za makanisa na shule za watu binafsi kama alivyofanya mwalimu si tungekwisha!
mwalimu won some and lost some. Let us learn not only from his successes but also from his mistakes.
jokaKuu,Semilong,
..it wasnt exactly an exchange program.
..mwanzoni kuanzia 1961 kulikuwa na University of East Africa[makerere,univ' college of nairobi,univ' college of DSM]. mwaka 1970 ndiyo kila nchi ikaamua kuwa na independent university.
..Univ College of DSM ilianzishwa about 5 yrs tangu Kenya waanzishe Royal Tech' College of Nairobu later on Univ' College of Nairobi.
..hakuna sababu ya msingi ya Wakenya kutuzidi kwa kiasi kikubwa ktk idadi ya wahitimu wa Chuo Kikuu. tulikuwa nao pamoja ktk University of East Africa.
uote:
Augustine Moshi
Alikamata, kwa nguvu, shule za Kanisa na shule za mashirika mengine. Ni pamoja na shule zifuatazo:
(1) St. Mary's College (ambayo baadaye iliitwa Tabora Girls)
(2) Assumpta College (ambayo aliamua kuiita Weru Weru)
(3) St. Francis College (ambayo aliamua kuiita Pugu)
(4) St. Andrew's College (ambayo aliamua kuiita Minaki)
(5) Mariam Collge (Shule ya Wasichana Morogoro)
(6) Umbwe Secondary School
Etc. Ni list ndefu sana.
Alikamata vile vile shule nyingine binafsi kama Lyamungo Secondary School na Alliance High School.
Mwalimu aliacha Seminari na shule chache za Kanisa (kama Kibosho na Kiraeni).
Mwalimu alikataza watu binafsi kuanzisha shule. Kwa kufanya hivyo, alidumaza sana Elimu ya Tanzania.
Ndugu yangu wakati tumepata Uhuru hakukuwa na mtu binafsi yoyote ambaye aliweza kuanzisha shule hata kwenye nchi za mabepari hawakuanza na shule za private ni serikali ndio ilikuwa inaanzisha shule na mpaka leo hii kwenye serikali zote za mabepari nyingi zinamilikiwa na seriklai na sio watu binafsi mfano na kwa faida yako Oxford and Cambridge ni shulle za serikali kwani kufanya reseach na development sio kazi mchezo na hakuna mtu binafsi ambaye angeweza kuanzisha elimu ya maana kipindi hicho
Jasusi said:jokaKuu,
Kuna sababu nyingi tu kwa nini Wakenya wametuzidi katika idadi ya wasomi kuanzia siku za ukoloni. Ukiangalia miaka ya 50-60 wakati Tanganyika tulijivunia kuwa na graduates watano kutoka Makerere Kenya ilikuwa na zaidi ya 20. The only way we could have caught up with Kenya is if Kenya stopped growring---but they have been growing at the same pace--while we are playing catch up. Nakumbuka 1961 Barclays bank pale Musoma ilikuwa na maafisa kutoka Kenya simply because there were no Tanganyikans to take up those positions. Hata wakati wa University of east Africa Kenyas were still ahead of us. Ingekuwa fair zaidi kama ungesema kuwa kuna wakati tulilingana katika idadi ya graduates na sasa wenzetu wametuzidi. But was there such a time?
intersted observer,
unajua kwamba kuna watu waliokufa, wameshindwa kuzikwa na ndugu zao kwa sababu tu wamebadilisha dini?...huu upuuzi wa elimu ya dini kutawala elimu dunia na utu wetu unatoka wapi kama sio makombo ya fikra duni za kupandikizwa..hivi kweli mnaona maisha ya leo yana unafuu wowote ktk jumuiya zetu wakati watanzania tumepoteza kabisa values zetu leo hii tunaona uzungu na uarabu kuwa ndio deal..kiasi kwamba hata watoto wetu tunawakanya urafiki au ushirikiano na mtoto mwenye imani tofauti..
Mkuu wangu tanzania inakoelekea ni kubaya zaidi na sijui kama wewe umewahi kufikiria tanzania ya kesho itakuwa na picha gani..sasa kama nyerere alikuwa ameambukizwa na wachina sijui mfumo huu mtasema tunaambukizwa na utawala gani?..
Ohh by the way nimesema mfumo alioacha mwalimu hadi mwinyi, nikiwa na maana mfumo wa elimu sio mwinyi alichokifanya au utekelezaji wa utawala wa mwinyi..
Hata leo hii ndani ya mfumo huu anaweza kuja kiongozi akaongoza vizuri, lakini haina maana mfumo mzima ni mzuri.. Sikubaliani na dini kuwa chanzo cha elimu dunia ya mwananchi..
Mkandara,
Nawashangaa kabisa wale wanaosema Mwalimu angemuiga Kenyatta kuliko Wachina.
Kenyatta was a tribalist. Full stop. Hata hizo shule za Harambee alifanya kwenye maeneo ya Wakikuyu. Na hata kama Mwalimu angefanya harambee tatizo la Tanzania wakati wa kuondoka mkoloni ni kwamba hatukuwa na waalimu wa kutosha kuzijaza hizo shule ambazo zingejengwa kwa harambee. Pia kama Mtanzania najivunia Kiswahili changu na Kiingereza nakitafuna sawasawa. Otherwise mkuu tupo pamoja.
Good questions, jokaKuu,Jasusi,
..lakini si tuna taarifa kwamba tulikuwa tunaongoza Afrika ktk kuandikisha wanafunzi shule ya msingi?
..ni kitu gani kimetufanya tushindwe kuendeleza rekodi hiyo hiyo mpaka Chuo Kikuu?
..wakati wa East Africa Univ' Faculty of Law ilikuwa Dar-Es-Salaam, sasa ukisikia Wakenya wana wanafunzi wengi zaidi wa Sheria kuliko Tanzania utasemaje?
..mimi nadhani tu-trace own educational priorities toka tujitambue kama taifa. tujifunze toka kwa wenzetu, na tusione haya kusema kuna mahali tulikosea.