KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
kwanza tunahitaji kiongozi mzalendo atakaebadili upepo toka hapa ulipo mpk kwenye uzalendo..KENZY vyote ukivyovitaja hapo vinafuraha sana endapo uzalendo utakya ndani ya kila mTz swala tufanyeje!! Turudishe uzalendo kwa kizazi hiki na kijacho
kivipi..?
kwa kufundisha watu/viongozi uzalendo na kujua umuhimu wa uzalendo.
kuwepo kwa katiba itakayo adabisha mtu yoyote bila kujali itikadi.
kung'oa mizizi ya uzandiki iliyopandwa sahivi ambayo ndiyo inatukandamiza.
kuwa na chombo cha ulinzi(idara zote za ulinzi) zenye kujua umuhimu wa uzalendo na namna gani wataweza kupambana na wasio wazalendo.. (hawa lzm wajaliwe na wawe na nguvu).
kutoa haki kwa ustahili kwa kila mtu ili kuhamasisha uzalendo ulotukuka.