MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 4,842
- 15,149
Uzalendo wa miaka hii umebatizwa jina la UCHOCHEZI .
Ishu siyo chama tu,mdudu anayeitwa demokrasia ndiye adui namba moja,huyu mdudu ndo analeta mgawanyiko kati ya raia wa nchi hii,watu wanatambuana kwa itikadi za vyama.Mzungu alitushika pabaya sana.Kwenye uchaguzi tu nchi inapoteza mabilioni ya pesa kuchagua watu wasiokuwa na hata chembe ya kujua lipi lenye manufaa kwa wananchi,kazi ndiooo!ndiooo!kwa kila jambo,na kugonga meza tu,wengine kuzunguka zunguka kwenye viti,nina hasira sana aisee!Very hurting but unafikiri kipo chama kinachoweza kuokoa Taifa kutoka kwenye huu uzandiki !? Je nini kifanyike sote tufaidike hasa watoto wetu wafurahie matunda ya mbegu njema
Wote waliopitia hayo sijui jkt na elimu ya uraia ndo majizi makubwa wasio na utu.Mkuu hilo tatizo lilianzia pale tulipofuta somo la siasa shuleni.tukalibatiza sijui civics,tukabadilisha mitaala yetu,tukaua JKT.Na sisi tukakoma kuwa taifa.
Uzalendo ni swala mtambuka,kwanza ujipende na ujitambue . Uijue nchi yako na uithamini.Uheshimu sheria zake na watu wengine uwajali. Sasa kama mtu anatamani kuzaliwa mbwa ulaya ni wazi hajitambui na hutegemei uzalendo kwake.Unafikiri nini kifanyike!?
mimi ni mzawa haswa wa hii nchi!huenda nchi hii ilikuwa bora kabla sijazaliwa,hii ni kwa sababu tangu nizaliwe sijawahi kuona lolote la kufurahisha,hebu jiulize,ni raia wangapi wakimuona polisi au mtu yeyote mwenye wadhifa kwenye dola huogopa?kwanini iwe hivyo?Wewe utakuwa ni muhamiaji haramu. Tanzania ndio nchi bora kabisa katika dunia hii. Wazalendo tunajivunia kuwa na nchi kubwa yenye kila kitu kizuri. Proud Tanzania. Hakuna kama Tanzania.
Wanaweza kuwa wezi ila wanajua jinsi ya kutokuwa wezi,hao kwangu ni afadhali, kuliko yule asiyejua kutokuwa mwizi.Wote waliopitia hayo sijui jkt na elimu ya uraia ndo majizi makubwa wasio na utu.
Ni kweli binafs ningefurahia kama hii kitu ingeanzia ngazi ya familiaUzalendo ni swala mtambuka,kwanza ujipende na ujitambue . Uijue nchi yako na uithamini.Uheshimu sheria zake na watu wengine uwajali. Sasa kama mtu anatamani kuzaliwa mbwa ulaya ni wazi hajitambui na hutegemei uzalendo kwake.
Chakufanya hapa turekebishe aina ya elimu tunayopeana,iwe ya kutuwezesha kumudu mazingira yetu siyo kufaulu tu mtihani. Hakuna kitu kinachoitwa maana duniani,kila kitu ni fursa. Kukosea ni fursa ya kujifunza.
Yaliyojaa huku mtaaniWote waliopitia hayo sijui jkt na elimu ya uraia ndo majizi makubwa wasio na utu.
Ukishaathiriwa na siasa za vyama utaona uzalendo haupo, ila uzalendo upo. Tunaipenda Tanzania bila kujali siasa za nchi zikoje kwa sababu ndio nchi yetu. Silaha ya kukomesha upumbavu wa wanasiasa ni kuwa mzalendo tu. Popote ulipo jivunie u-Tanzania, waambie watu wewe ni m-Tanzania, tembea kifua mbele. Tuna mlima mrefu wa kipekee mlima Kilimanjaro, tuna mbuga kubwa za wanyama, tuna maziwa na bahari, tuna ardhi ya kututosha yenye rutuba, tuna mito na hifadhi kubwa za misitu nk. Hakuna kama Tanzania, uzalendo ndio asili yetu. Proud TANZANIA.Uzalendo ulikufa siku maslahi ya chama (Ccm) yakiwekwa mbele zaidi ya utaifa. Nyerere ndie aliua uzalendo wa watanzania kwa kukiinua chama badala ya taifa.
Kuiga hakufuti uzalendo ndani yetukuiga igaa kumezidi
Unafikiri ilo ndio tatizo kuu!?Ishu siyo chama tu,mdudu anayeitwa demokrasia ndiye adui namba moja,huyu mdudu ndo analeta mgawanyiko kati ya raia wa nchi hii,watu wanatambuana kwa itikadi za vyama.Mzungu alitushika pabaya sana.Kwenye uchaguzi tu nchi inapoteza mabilioni ya pesa kuchagua watu wasiokuwa na hata chembe ya kujua lipi lenye manufaa kwa wananchi,kazi ndiooo!ndiooo!kwa kila jambo,na kugonga meza tu,wengine kuzunguka zunguka kwenye viti,nina hasira sana aisee!
Huo mlima umekufaidisha nini wewe binafsi?bahari na maziwa yamekufaidisha nini?kama hakuna ndugu yako ambaye aliwahi/ni kiongozi serikalini sahau kunufaika na hivyo vitu!mfano mzuri hebu angalia chuo cha usimamizi wa wanyama pori namna ada zao zilivyo kubwa,unafikiri wamemlenga mtoto wa masikini wa nchi hii?Ukishaathiriwa na siasa za vyama utaona uzalendo haupo, ila uzalendo upo. Tunaipenda Tanzania bila kujali siasa za nchi zikoje kwa sababu ndio nchi yetu. Silaha ya kukomesha upumbavu wa wanasiasa ni kuwa mzalendo tu. Popote ulipo jivunie u-Tanzania, waambie watu wewe ni m-Tanzania, tembea kifua mbele. Tuna mlima mrefu wa kipekee mlima Kilimanjaro, tuna mbuga kubwa za wanyama, tuna maziwa na bahari, tuna ardhi ya kututosha yenye rutuba, tuna mito na hifadhi kubwa za misitu nk. Hakuna kama Tanzania, uzalendo ndio asili yetu. Proud TANZANIA.
Na mwalimu mkuu duniani ni familia,huko utajifunza kuwajibika,kuheshimu,kujali,kuona haya,kuthamini, kutunza na karibu kila kitu. Bila hayo hakuna uzalendo. Mama anapiga hela ya ada,baba anapiga pato la familia na mtoto anakuwa muongomuongo tu..Ni kweli binafs ningefurahia kama hii kitu ingeanzia ngazi ya familia
Nilijua ni peke angu tu kumbe tuko wengi aiseemimi ni mzawa haswa wa hii nchi!huenda nchi hii ilikuwa bora kabla sijazaliwa,hii ni kwa sababu tangu nizaliwe sijawahi kuona lolote la kufurahisha,hebu jiulize,ni raia wangapi wakimuona polisi au mtu yeyote mwenye wadhifa kwenye dola huogopa?kwanini iwe hivyo?
Hilo siyo tatizo pekee,matatizo yapo mengine sana!Unafikiri ilo ndio tatizo kuu!?
Kwaiyo swala linaweza kuwa mfumo mbovumimi ni mzawa haswa wa hii nchi!huenda nchi hii ilikuwa bora kabla sijazaliwa,hii ni kwa sababu tangu nizaliwe sijawahi kuona lolote la kufurahisha,hebu jiulize,ni raia wangapi wakimuona polisi au mtu yeyote mwenye wadhifa kwenye dola huogopa?kwanini iwe hivyo?