Tanzania sio kichwa cha mwendawazimu tena.

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,177
7,749
Baada ya Timu yetu ya Taifa, Taifa kufuzo michuano ya Afcon 2024 ni wazi kabisa timu yetu sio kichwa cha mwenda wazimu tena kama alivyo wahi kusema Rais wa awamu ya 2 dkt Ali Hassan Mwinyi.

Pongezi nyingi sana kwa taifa , pongezi kwa Rais dkt Samia kwa kuweka hamasa kubwa kwenye Soka letu, hakika hamasa ya Rais Samia imeongeza ari na uzalendo mkubwa kwa wachezaji wetu.
 
Baada ya Timu yetu ya Taifa, Taifa kufuzo michuano ya Afcon 2024 ni wazi kabisa timu yetu sio kichwa cha mwenda wazimu tena kama alivyo wahi kusema Rais wa awamu ya 2 dkt Ali Hassan Mwinyi.

Pongezi nyingi sana kwa taifa , pongezi kwa Rais dkt Samia kwa kuweka hamasa kubwa kwenye Soka letu, hakika hamasa ya Rais Samia imeongeza ari na uzalendo mkubwa kwa wachezaji wetu.

"Ball possession: Algeria 80.5%."

Kumbe kichwa cha mwenda wazimu ni kiko je?

Hivyo tulipo kumbe tunasubiri kombe sasa baada ya kuwapeleka puta washindani?

Hiiiiii bagosha! -- kwa jina la nabii jiwe.
 
Inaoneka game hukuiangalia bali ulisimuliwa
Game niliingalia mwanzo mwisho.
Taifa ilikaza ndio maana waarabu pamoja na kuposses mpira lkn hakupata shoot on target hata moja,
Kwa kifupi waarabu walilowa, ingekuwa kwa mkapa lazima tungewachapa.
 
Jambo la msingi hapo ni kufuzu kwenda afcon.
hizo mbwembwe zingine achana nazo.

Unajua game ingesimamishwa tukaulizwa mnasema je hadi hapo tungesema je?

Uliona tukicheza hata pasi zetu 3 zilizokuwa timamu popote?

Ukweli mchungu: tunakwenda kama wasindikizaji.
 
Game niliingalia mwanzo mwisho.
Taifa ilikaza ndio maana waarabu pamoja na kuposses mpira lkn hakupata shoot on target hata moja,
Kwa kifupi waarabu walilowa, ingekuwa kwa mkapa lazima tungewachapa.
Game haikuwa ya kiushindani wala ladha. Score ingekuwa angalau 1-1 or 2-2...
 
Back
Top Bottom