PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,522
- 13,110
Ohoooooo!!!Nishakusamehe. Mkuu ila umetuangusha sana kumpigia huyu jamaa. Hafai hata kwa kachumbari. Kaharibu ndoto za watu wengi sana especially vijana. Mambo ni magumu sana debe la mahindi 23,000. Kwa ujinga wake sukari imekuwa juu sana.
Inabid ianzishwe kitengo cha kuwapima akili siyo bure.
"Viongozi wengine ni laana tu''