share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,459
Hivi nyie Watanzania mbona mnakuwa wanafiki kupindukia.
Yani unakutana na mtu analia maisha magumu tena huku akitupia lawama kwa Magufuli na Serikali yake. Ila ukimuuliza, "si wewe uliye mpa kura Magufuli 2015?" Mtu anabisha. Mpaka wengine wanatoa kauli kuwa hata wangekuwa wapinzani wameweka jiwe ila wasinge mpigia kura Magufuli.
KAMA HAMKUMPA KURA ,KASHINDAJE SASA.
haiwezekani mwe mnalia maisha magumu na kumlaumu Magufuli wakati mlimchagua wenyewe. Acheni muisome number. Mjilaimu wenyewe. CCM mbele kwa mbele.
Tatizo ni sample size yako.