Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
- Thread starter
- #41
Waalimu =walimu... Kajifunze kuandika vizuri Kwa hao walimu alafu urudi hapa na kejeli
Sawa nimejifunza ! Kwanini Walimu ndo wanaongoza kupigwa?
Waalimu =walimu... Kajifunze kuandika vizuri Kwa hao walimu alafu urudi hapa na kejeli
Waalimu =walimu... Kajifunze kuandika vizuri Kwa hao walimu alafu urudi hapa na kejeli
Acha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Sawa nimejifunza ! Kwanini Walimu ndo wanaongoza kupigwa?
Umeandika tu ili na wewe uonekane au ujuaji tu? Inaonyesha hujui kitu kuhusu hiloAcha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
'Rigi!!' Ndio mana unawasema walimuNakubaliana kuwa niuongo! Mwalimu wa secondary anaanza n
Wewe utakuwa mwl mwenye elimu ya farm4, Div4 ,unafundisha form4. Maana unahisi kila mjadara unaohusu waalimu ni rigi.
Soma habari yenyewe halafu njoo na hoja.
Hakuna ubishi kuwa waalimu ndio wanao ongoza kwa kusaidiwa na takukuru!
Kwahiyo km watanzania lazima tujue chanzo ili jambo hili likome, vinginevyo takukuru itakuwa ni taasisi ya kusaidiwa waalimu tu.
Kwahiyo tunatafuta sababu ili kupata suruhisho maana hili nijanga kwa waalimu.
Wewe unasema eti rig na waalimu, nikweli aliyeweka matokeo ya waalim hapa yawezakuwa ww nimiongoni maana inaonekana uelewa mdogo japo ww ni mwl.
Mama yangu mdogo,I mean mke mdogo wa dingi,amestaafu mwaka 2018 akiwa anapokea mshara wa 1,172,000/- hadi anastaafu..na amekula 89ml alipostaafu,tena kiwango chake cha elim ni form 4 na kwenye ualim ana cheti tu sio diplomaAcha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Una uelewa mdogo sana wa haya mambo, na kushauri ukae kimya ujifunze kwa waliopo jikoni.Acha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Mkuu una ugomvi na "mwalimu mkuu". Hapendi kudhihakiwaMatokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F
Duh, ulivyoongea kwa kujiamini sasa, kama unajua unachoongea vile
Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F
Kanuni ya fedha ni kwamba zikishikwa nyingi kwa wakati mmoja na mtu ambaye alikuwa ni fukara na hajawahi kushika fedha nyingi, ni lazima watu wengi wajue kwani ataweweseka. Waalim wengi wanaangukia kwenye hili kundi. Wanapopata kiinnua mgongo cha fedha nyingi kwa wakati mmoja wanaweweseka na kutoa mwanya kujulikana na matapeli kuwawekea mtego.Naomba majibu hapa kutoka kwa waalimu.
je! Nikwanini kila nikisikia taarifa za taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru imeokoa fedha za mstaafu ukifuatilia atakuwa ni mwalimu?
kwani wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?
Ni nini kinasababisha watapeliwa wengi kuwa ni waalimu badala ya wakulima?
Jifunze kutofautisha "l" na "r", kwa mwandiko wako wewe ulikuwa toto tundu ukaishia kulamba ziro lawama unawaangushia walimu.Nakubaliana kuwa niuongo! Mwalimu wa secondary anaanza n
Wewe utakuwa mwl mwenye elimu ya farm4, Div4 ,unafundisha form4. Maana unahisi kila mjadara unaohusu waalimu ni rigi.
Soma habari yenyewe halafu njoo na hoja.
Hakuna ubishi kuwa waalimu ndio wanao ongoza kwa kusaidiwa na takukuru!
Kwahiyo km watanzania lazima tujue chanzo ili jambo hili likome, vinginevyo takukuru itakuwa ni taasisi ya kusaidiwa waalimu tu.
Kwahiyo tunatafuta sababu ili kupata suruhisho maana hili nijanga kwa waalimu.
Wewe unasema eti rig na waalimu, nikweli aliyeweka matokeo ya waalim hapa yawezakuwa ww nimiongoni maana inaonekana uelewa mdogo japo ww ni mwl.
WapoAcha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Kwa iyo pamoja na kuelimika kwako hujaweza kutofautisha hayo matumizi?Ungekuwa unajua lugha mama yangu usingeona ajabu nakushauri tafuta marifa zaidi ili uwezw kujua kwanini huwa kuna makosa ya kimatamshi na kimaandishi
Mtu ambaye shule yake ndogo na uelewa wake mdogo ndio hukosoa hivi vitu ila ambaye uelewa wake mkubwa hawezi shangaa maana anajua kwanini hii kitu hutokea
Ubarikiwe mkuuRigi = ligi (league)
Suruhisho = suluhisho
anaebisha = anayebisha
ndo = ndiyo
nawaheshim = nawaheshimu
nikutafta = ni kutafuta
waalim = walimu
nijanga = ni janga
farm4 = form 4/four/kidato cha nne
mjadara = mjadala
Kazi kweli kweli!
Kama ujui tulia hapa ujue na ujifunze naujue ndio nakwambia siyo milioni kavu ni milioni na taka taka furani wapo hao wengi tuAcha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Hivi nikikwambia ဩ ni r utakubaliKwa iyo pamoja na kuelimika kwako hujaweza kutofautisha hayo matumizi?
Kama ujui tulia hapa ujue na ujifunze nanujue ndio nakwambia siyo milioni kavu ni milioni na taka taka furani wapo hao wengi tu