Kwanini Wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?

Kuwa mpole mkuu kama hujui
Acha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Screenshot_20200410-203000.jpg
 
Sawa nimejifunza ! Kwanini Walimu ndo wanaongoza kupigwa?

Nahitaji sasa zile kilo zangu 10 za mchele wa huko kwenu Simiyu! Umenisumbua sana mimi Mwalimu wako wa "farm4" kurekebisha hayo makosa yako ya kiuandishi.
 
Nakubaliana kuwa niuongo! Mwalimu wa secondary anaanza n


Wewe utakuwa mwl mwenye elimu ya farm4, Div4 ,unafundisha form4. Maana unahisi kila mjadara unaohusu waalimu ni rigi.

Soma habari yenyewe halafu njoo na hoja.
Hakuna ubishi kuwa waalimu ndio wanao ongoza kwa kusaidiwa na takukuru!
Kwahiyo km watanzania lazima tujue chanzo ili jambo hili likome, vinginevyo takukuru itakuwa ni taasisi ya kusaidiwa waalimu tu.

Kwahiyo tunatafuta sababu ili kupata suruhisho maana hili nijanga kwa waalimu.
Wewe unasema eti rig na waalimu, nikweli aliyeweka matokeo ya waalim hapa yawezakuwa ww nimiongoni maana inaonekana uelewa mdogo japo ww ni mwl.
'Rigi!!' Ndio mana unawasema walimu
 
Acha uongo hakuna Mwal anayepokea 1 million hapa Tz kutoka serikalini.
Mama yangu mdogo,I mean mke mdogo wa dingi,amestaafu mwaka 2018 akiwa anapokea mshara wa 1,172,000/- hadi anastaafu..na amekula 89ml alipostaafu,tena kiwango chake cha elim ni form 4 na kwenye ualim ana cheti tu sio diploma

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Acheni kuwabeza walimu jamani, wanakipambania sana hiki chama chetu chakavu kipindi cha uchaguzi..
 
Matokeo ya mwalimu wa shule ya msingi
Mathematics F
History D
Geography D
Civics D
Biology D
English D
Kiswahili C
Chemistry F
Physics F

Kupitia matunda ya matokeo haya umejua kuandika hata kuweza kuja kuwakosoa hapa.

Walimu ni daraja, kazi yao ni kazi nzuri sana na yapaswa kuheshimiwa maana wana mchango mkubwa sana.

#Heshima kwa mwalimu
 
Naomba majibu hapa kutoka kwa waalimu.

je! Nikwanini kila nikisikia taarifa za taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Takukuru imeokoa fedha za mstaafu ukifuatilia atakuwa ni mwalimu?

kwani wastaafu wote wanaopigwa kwenye mikopo umiza ni waalimu tu?

Ni nini kinasababisha watapeliwa wengi kuwa ni waalimu badala ya wakulima?
Kanuni ya fedha ni kwamba zikishikwa nyingi kwa wakati mmoja na mtu ambaye alikuwa ni fukara na hajawahi kushika fedha nyingi, ni lazima watu wengi wajue kwani ataweweseka. Waalim wengi wanaangukia kwenye hili kundi. Wanapopata kiinnua mgongo cha fedha nyingi kwa wakati mmoja wanaweweseka na kutoa mwanya kujulikana na matapeli kuwawekea mtego.
 
Nakubaliana kuwa niuongo! Mwalimu wa secondary anaanza n


Wewe utakuwa mwl mwenye elimu ya farm4, Div4 ,unafundisha form4. Maana unahisi kila mjadara unaohusu waalimu ni rigi.

Soma habari yenyewe halafu njoo na hoja.
Hakuna ubishi kuwa waalimu ndio wanao ongoza kwa kusaidiwa na takukuru!
Kwahiyo km watanzania lazima tujue chanzo ili jambo hili likome, vinginevyo takukuru itakuwa ni taasisi ya kusaidiwa waalimu tu.

Kwahiyo tunatafuta sababu ili kupata suruhisho maana hili nijanga kwa waalimu.
Wewe unasema eti rig na waalimu, nikweli aliyeweka matokeo ya waalim hapa yawezakuwa ww nimiongoni maana inaonekana uelewa mdogo japo ww ni mwl.
Jifunze kutofautisha "l" na "r", kwa mwandiko wako wewe ulikuwa toto tundu ukaishia kulamba ziro lawama unawaangushia walimu.
 
Ungekuwa unajua lugha mama yangu usingeona ajabu nakushauri tafuta marifa zaidi ili uwezw kujua kwanini huwa kuna makosa ya kimatamshi na kimaandishi

Mtu ambaye shule yake ndogo na uelewa wake mdogo ndio hukosoa hivi vitu ila ambaye uelewa wake mkubwa hawezi shangaa maana anajua kwanini hii kitu hutokea
Kwa iyo pamoja na kuelimika kwako hujaweza kutofautisha hayo matumizi?
 
Rigi = ligi (league)
Suruhisho = suluhisho
anaebisha = anayebisha
ndo = ndiyo
nawaheshim = nawaheshimu
nikutafta = ni kutafuta
waalim = walimu
nijanga = ni janga
farm4 = form 4/four/kidato cha nne
mjadara = mjadala

Kazi kweli kweli!
Ubarikiwe mkuu
 
Kama ujui tulia hapa ujue na ujifunze nanujue ndio nakwambia siyo milioni kavu ni milioni na taka taka furani wapo hao wengi tu

Kweli hilo halina ubishi! Nasiwalimu wte kwamba wananjaa natabia za ajabu hapana!
Nibaadhi tu wachache wanaohalibu heshima ya sekta hii muhimu Duniani.
 
Back
Top Bottom