Kwanini wasichana wanashindwa kutuamini?

Kwanini wasichana wanashindwa kutuamini?

Yaani kwa umri huo ushaanza kufikiria uzinzi badala ya shule.... halafu ukija feli uanze kuilaumu serikali!!!! Umri wako bado kijana kila kitu kinaenda na wakati wake!!!!
 
tehe!tehe!tehe!tehe!, inabidi hii comment ndo aweke mkichwa zaidi!

kuna jamaa moja rafiki angu alishawahi kukomaa kwa mrembo hivi bila hiana dada wa watu kakubali.
kufika gue house ndom inampwaya.....kilichofatia hapo sisemi mie!!!
 
Mi ni kjana mwenye umri wa miaka 18 niko katika uhusiano na msichana kwa mwaka mzima sasa lakini huyu msichana hataki kufanya mapenzi na mimi eti kisa anahofia kuwa ntamchezea tu na kumuacha nimeongea maneno yote ya kujitetea lakni inaonekana kama ni kazi bure na nampenda sana licha ya kuwa na wasichana wengi duniani ki ukweli nae ananipenda kwa jinsi ninavyoona anasema eti nisubiri mpaka tuoane sasa wana JF eti anachonifanyia ni sahihi jamani???

huyi ndio mke sasa nakwambia...y unataka kugeheda kabla ya ndoa weye?
 
kwa umri huo ht mm nisingekubali, kijana tulia haya mambo yapo yu na utayakuta na utayaacha.
Tena namuona msichana ana akili sana kuliko wewe.
 
Venance Gilbert ?? Mmmh, dogo mbona kama tunafahamiana?? Anyway, nikuambie kitu ... humu wengi ni anonimous so watch out swali lako lisije likajibiwa na wazazi au ndugu zako wa karibu! Ok, ishu yako ni hivi badilisha kabisa wazo ulilonalo la kufanya ngono na jikite kwenye kujifunza vitu vipya na stadi za maisha! Hapa hapa JF kuna forum nyingi ambazo zinaweza kuku-keep busy .... search kuhusu technolojia, afya, lugha, lishe, biashara e.t.c achana kabisa na Mapenzi na mahusiano bado u-mdogo sana!
 
Haha hahaaaaaaaa

Kwa umri wako unafikiri kuwa haumcheziii sivyo???

Na unamuahidi kuwa utamuoa eeeee!! Dogo u stil have a long way to go soma kwanza.

Haya mapenzi tuachie sisi vikongwe lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mimi namsahauri atafute kitabu kinachoitwa " THE 100 ABSOLUTELY UNBREAKABLE LAWS OF BUSINESS SUCCESS BY BRAIN TRACY" kitamsaidia saaaaana
Naishia hapa kwa sasa
 
Mi ni kjana mwenye umri wa miaka 18 niko katika uhusiano na msichana kwa mwaka mzima sasa lakini huyu msichana hataki kufanya mapenzi na mimi eti kisa anahofia kuwa ntamchezea tu na kumuacha nimeongea maneno yote ya kujitetea lakni inaonekana kama ni kazi bure na nampenda sana licha ya kuwa na wasichana wengi duniani ki ukweli nae ananipenda kwa jinsi ninavyoona anasema eti nisubiri mpaka tuoane sasa wana JF eti anachonifanyia ni sahihi jamani???

Unauliza ufanye nini? Nyambafuuuuuuuuuuuuu; Mwache binti wa watu anayejitambua ajenge maisha yake..Unataka kuharibu mali yake kisha ukifikia umri wenye akili usepe. Tena ningekufahamu wewe ungejua uchungu wa mwana anaujua nani. Tena urudi facebook haraka, yaani umejiunga leo ili tukushauri namna ya kuharibu maisha ya binti mstaarabu na mwenye malezi kamili ya baba na mama..................................................
 
huyo mtoto mwenzako anakuepusha na BALAA maana ukimpa mimba tu unalo!
Ushauri wangu ni kuwa wewe bado mdogo, hangaikia maisha yako ya baadaye kwa kukazana kusoma kwa bidii, hayo mambo ya wasichana na mapenzi kwa ujumla utayakuta huko mbeleni...kwa sasa ACHA UHUNI na UMALAYA ni mapema sana na utajichosha bure...UMENIUDHI DOGO!aaagggghhhhhrrrr!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Nashukuru sana kwa ushauri wenu jaman mi nimehtm kdato cha nne ila kwako wewe majany unaesema navuta bangi poa tu ila let me tell you that BOGAS ARE THE ONES WHO HAVE LOWLY THINKING CAPACITY....

Umetukana au uwezo wangu wa kunyambua umefifia
 
Back
Top Bottom