Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Ni jambo lisilopingika kuwa wasanii wengi duniani vifo vyao hutokea kwa ghafla hali ambayo wengi wetu inatupa wakati mgumu mf:Michael jackson whitney yuston lucky dube anjela chibalonza na sasa Steven kanumba NINI KINACHANGIA WAO KUPOTEZA UHAI WAO GHAFLA?