Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Wadau hamjamboni nyote?
Hoja yangu:
Siyo rahisi kwenye mahubiri ya Wasabato iwe Kanisani au kwenye mikutano ya kidini kuona dhambi za Zinaa, Uongo, Unafiki, Wizi & Ushirikina, kukosa upendo n k zikikemewa kwa nguvu kubwa inayostahili.
Sijasema hawakemei dhambi hizo la hasha ila kamwe hawatilii mkazo dhambi hizo.
Sijui ni kwa sababu zipi lakini ndiyo ukweli na unaweza thibitisha Kwa kufuatilia mahubiri yao sehemu mbalimbali.
Mtafute Msabato yeyote hata leo mwambie mjadili madhara ya dhambi hizo, nakuhakikishia kama atakubali basi atazingumza Kwa muda usiozidi dakika 5 na baadaye ataanza habari za ubaya wa RC.
Utaniuliza sasa wanahubiri nini? Jibu ni kwamba 80% na kuendelea wanazungumzia Kuhusu ubaya wa Roman Catholic & Makanisa ya Waprotestants.
Karibuni tujadili
#Tahadhari:
Pinga hoja iliyowasilishwa kwa hoja na kamwe usitoe maneno ya kashfa dhidi ya Imani nyingine.
1.NYONGEZA SOMA WAGALATIA 5:19-26 ILI UJUE UZITO WA HOJA ILIYOPO MEZANI NA MATOKEO YAKE
"Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu"
2.HOJA HAISEMI WASABATO NI WAZINZI ILA HAWAKEMEI DHAMBI TAJWA KIKAMILIFU
Hoja yangu:
Siyo rahisi kwenye mahubiri ya Wasabato iwe Kanisani au kwenye mikutano ya kidini kuona dhambi za Zinaa, Uongo, Unafiki, Wizi & Ushirikina, kukosa upendo n k zikikemewa kwa nguvu kubwa inayostahili.
Sijasema hawakemei dhambi hizo la hasha ila kamwe hawatilii mkazo dhambi hizo.
Sijui ni kwa sababu zipi lakini ndiyo ukweli na unaweza thibitisha Kwa kufuatilia mahubiri yao sehemu mbalimbali.
Mtafute Msabato yeyote hata leo mwambie mjadili madhara ya dhambi hizo, nakuhakikishia kama atakubali basi atazingumza Kwa muda usiozidi dakika 5 na baadaye ataanza habari za ubaya wa RC.
Utaniuliza sasa wanahubiri nini? Jibu ni kwamba 80% na kuendelea wanazungumzia Kuhusu ubaya wa Roman Catholic & Makanisa ya Waprotestants.
Karibuni tujadili
#Tahadhari:
Pinga hoja iliyowasilishwa kwa hoja na kamwe usitoe maneno ya kashfa dhidi ya Imani nyingine.
1.NYONGEZA SOMA WAGALATIA 5:19-26 ILI UJUE UZITO WA HOJA ILIYOPO MEZANI NA MATOKEO YAKE
"Basi matendo ya mwili ni dhahiri, ndiyo haya, uasherati, uchafu, ufisadi, ibada ya sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi, husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu"
2.HOJA HAISEMI WASABATO NI WAZINZI ILA HAWAKEMEI DHAMBI TAJWA KIKAMILIFU