Kwa nini siku hizi watu wanapenda kutumia nafsi ya tatu kujielezea??
uko sahihi sana mkuu sijui wanashindwa kutumia nafsi ya kwanza umoja
Kama ulimwingizia hilo tango hakuna cha kukushauri coz unashiriki kumharibu mwenzio.
mungu wangu!!!
Wangejaribu hata nafsi ya pili