storyteller
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 1,511
- 1,831
Umeandika kwa uchungu sana.
Utakua ushafiiiii...rwa siku siyo nyingi.
Natanguliza samahani lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
unajua wanawake mi siwaelewagi...... kuna mmoja nilimjaribu akajifanya mkali kweli..... japo head ilizama... ila tuligombana mno kupelekea wiki nzima naomba msamaha..... lakini juzi kati nashangaa anajifanya bebi fanya km siku ile....... ananibembeleza..
usikute na huyu kaja kuona maoni yakoje.... maana alichokiandika ni urongo tu.