popbwinyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,986
- 3,609
Ile tu kujutia,Jamani sijauliza ili mnitete au kuniuliza yasio jenga nimefata ushauri na ntayafanyia kazi nataka kuacha kweli. Mi sijui iliingiaje au alitumia nini kufanya iingie na ninogewe papo hapo na sababu nliopewa ni iyo kua alipitiwa kisa pombe. Ila tangu siku iyo siwez kuji control kila nifanyapo nasubir anifanye ila nkiwa kawaida au katika hali yakutulia nafsi inanisuta. Mnaofanya utani asanteni mbarikiwe mnaoni consider nashukuru kwa ushauri wenu. Swali langu la mwisho je nikitubu hii dhambi kweli itafutwa?
Ile tu kuinesha nia ya kuacha
Ile tu kuomba msaada,
Inaonesha wewe ni mtu bora ila umepita njia mbaya,
La msingi usijikatie tamaa,
Wapo watu humu wanafanya sana hivyo na hawajutii maana wanapenda sana,
La msingi jitambue,usijikatae maana ukijikataa utaishia kubaki hukohuko,
Anza sasa kukataa tokea ndani jambo hilo,
Muambie jamaa yako haupendi na hautaki tena jambo hili,
Hii itaweka ukuta wa yy kutaka,
Lkn itakurudishia heshima yako,
Na itakupa mwanzo mzuri wa kushinda hili,
Kuhusu kusamehewa,
Mungu ni wa huruma sana,
Weka dhani ya nia maana Mungu huangalia nia ya dhati na atakusaidia,
Usiache sala,funga na matendo mema