MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,950
- 26,050
Najiuliza tu...!
Hivi inawezekana kweli Mume ukaambiwa hivyo na mkeo.... halafu ukaenda kumueleza rafiki yako na kumuuliza kuwa ufanyaje?
Kama sio CHAI, basi mwambie Jamaa aweke msimamo wake kuwa hayuko tayari kufanya dhambi hiyo...na hivyo mwanamke akishindwa kumvumilia basi akaolewe kwingine.
stry za kutunga huwa sizipend kweli kweli