Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,643
- 6,822
Acha ushamba wa jiji dogoKwani nani ana pump in na out? Hayo matatizo ya kuwapa papuchi wanaume wa mikoani. Tupe sisi wanaume wa Dasalamu uone chako.
Acha ushamba wa jiji dogoKwani nani ana pump in na out? Hayo matatizo ya kuwapa papuchi wanaume wa mikoani. Tupe sisi wanaume wa Dasalamu uone chako.
Mshamba si huwa mtu wa kijijini huko kwenu mikoani?Acha ushamba wa jiji dogo
Ulimbeni unakusumbua ukipevuka utaacha.Mshamba si huwa mtu wa kijijini huko kwenu mikoani?
Mkuu hii ni JF(jokes and Fun) sio JF (jeuri na fedhuli) Wamikoani na Dasalamu wote wamoja tuna have fun tu hapo nothing serious.Ulimbeni unakusumbua ukipevuka utaacha.
Sana Mkuu kwanza nafikiria Kuanzisha Jamii WhatsApp Group la mahusianoMkuu hii ni JF(jokes and Fun) sio JF (jeuri na fedhuli) Wamikoani na Dasalamu wote wamoja tuna have fun tu hapo nothing serious.
QUOTE="Mchumi90, post: 16908772, member: 279239"] si mpaka nikamatwe
Hahahahahha ha ha ha unapenda miguno eeh? njoo huku uswahili kwetu huwezi kujua nani mwanaume nani mwanamke maana wote wanalia.
acha fujo wewe ,,,,,wafikiria hata unajua kama unaguna....tofauti na nyie, mara nyingi mnatuibia...ha ha ha! try?!? hujiamin Mkuu.just do it!
ila hamna kutongozanahii mada imenichekesha sana kuna mdau Anataka kuanzisha group ya whatsapp JF tupo tayari
utawapata wapi mkuu? jaribu bhana nisikukatishe mutima bureeeeSana Mkuu kwanza nafikiria Kuanzisha Jamii WhatsApp Group la mahusiano
Watu wana Groups za mpaka za Magari sembuse Mambo Ya Relationship na Family Issuesutawapata wapi mkuu? jaribu bhana nisikukatishe mutima bureeee