Kwanini wanawake wengine hawatoi miguno ya kufurahia wakati wa tendo?

Beesmom

JF-Expert Member
May 30, 2016
17,221
28,654
Sorry,

Utakuta jamaa analalamika, mwanamke mwenyewe sita kwa sita bubu hana miguno.Sa ninachojiuliza, kwani haya mambo inatakiwa mpate raha nyinyi wenyewe? Siye ahaa!

Mbona nyie mnatunyima miguno, utakuta mtu kaganda hapo juu kimya mpaka mwisho anaishia kupizi kama jogoo na kupiga fofofo.Hivi ni nyie tu mliumbiwa kufurahishwa?Mbona miguno ya ladha ya mua mnatoa nini sasa?
 
Hhahaha tendo lile ni la wote na kila mtu yaani mwanamke na mwanaume anatakiwa kuparticitate asilimia mia,mwanaume kutoa sauti ni kitu ambacho kinawezekana ila wengi wetu hatuwezi kutoa sauti au miguno yakuonyesha yakua tunapata raha bse wanawake asilimia kubwa hawajui mapenzi kabisa...but all in all sauti au miguno wanaume tunatakiwa kutoa ili mwanamke nae ajue kumbe viuno na mambp mambo yake ni sawia...
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom