Kwanini wanawake wengi hawapendi kufundishwa kuendesha gari na waume zao?

Zinduna

JF-Expert Member
Nov 6, 2011
2,378
3,379
Dada yangu kanilalamikia kwamba mumewe akimfundisha kuendesha gari huwa anamlabua makofi kila akikosea na anakuwa na lugha kali sana wakati akitoa maelekezo, lakini pia nimewahi kuwasikia baadhi ya wanawake wakisema ni heri kwenda driving school kuliko kufundishwa kuendesha gari na waume zao kutokana na kukaripiwa wakati wakifundishwa pale wanapokosea na kulabuliwa makofi.

Je, wanaume tuhuma hizi zina ukweli?
 
Zinduna hujambo? Kama unataka kufundishwa gari ni-pm.... Usiogope makofi
 
Last edited by a moderator:
Eti Asprin, hebu tupe ushuhuda hapa, hivi ulikuwa unamlabua makofi mama Matesha ulipokuwa ukimfundisha kuendesha kale kamkweche kako ulikokauza baada ya kuingia kweye mgogoro wa madeni...
 
Last edited by a moderator:
Eti Asprin, hebu tupe ushuhuda hapa, hivi ulikuwa unamlabua makofi mama Matesha ulipokuwa ukimfundisha kuendesha kale kamkweche kako ulikokauza baada ya kuingia kweye mgogoro wa madeni...

Bahati mbaya yeye alikuwa anajua kuendesha kabla mimi sijajua kuendesha. Nimeikosa hiyo bahati ya kumlabua makofi.

Ngoja nitafute kamchepuko nikafundishe niambulie japo kukabwenga makwenzi
 
Last edited by a moderator:
Bahati mbaya yeye alikuwa anajua kuendesha kabla mimi sijajua kuendesha. Nimeikosa hiyo bahati ya kumlabua makofi.

Ngoja nitafute kamchepuko nikafundishe niambulie japo kukabwenga makwenzi
Ha ha ha haaaaa, naja Nyerere Day ujue.
Safari hii simtaki tena yule babu mwenzio kawa bahili ka nini, nampotezea, tukutane pale facebook


Mzee Mtambuzi asisome hapa
 
Bahati mbaya yeye alikuwa anajua kuendesha kabla mimi sijajua kuendesha. Nimeikosa hiyo bahati ya kumlabua makofi.

Ngoja nitafute kamchepuko nikafundishe niambulie japo kukabwenga makwenzi

Nifundishe mie swiry
 
Back
Top Bottom