Zinduna
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,378
- 3,379
Dada yangu kanilalamikia kwamba mumewe akimfundisha kuendesha gari huwa anamlabua makofi kila akikosea na anakuwa na lugha kali sana wakati akitoa maelekezo, lakini pia nimewahi kuwasikia baadhi ya wanawake wakisema ni heri kwenda driving school kuliko kufundishwa kuendesha gari na waume zao kutokana na kukaripiwa wakati wakifundishwa pale wanapokosea na kulabuliwa makofi.
Je, wanaume tuhuma hizi zina ukweli?
Je, wanaume tuhuma hizi zina ukweli?