comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 2,732
- 2,477
Oohhoooo!
Asee waseee hivi kwanini Hawa vimbaumbau weupe wanaongea sana, halafu wengi wao wanaongea fasta fastaaa, kama kanda inasokota.
Na Hawa vimbaumbau weupe vazi lao kubwa ni dela, au Ndio hawataki kuvaa nguo za Kubana ili flat screen zao zisionekane?
Mimi ndimi.
Asee waseee hivi kwanini Hawa vimbaumbau weupe wanaongea sana, halafu wengi wao wanaongea fasta fastaaa, kama kanda inasokota.
Na Hawa vimbaumbau weupe vazi lao kubwa ni dela, au Ndio hawataki kuvaa nguo za Kubana ili flat screen zao zisionekane?
Mimi ndimi.