mjasiriamali mdogo
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 254
- 101
Kwa nini wanawake wa kizenji wanaoishi Tanganyika wakipata ujauzito wanakwenda kujifungulia zenji? Nimechunguza majirani zangu kama wa tano(5) hivi ninaoishi nao jirani huku tandika. Nijuzeni wadau.