Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 1,175
- 2,253
Haiombwi hivo
What next na mimi nina ego hatariHapana ila kutokutaka kuhangaika kumjibu vizuri.
Mpigie mkuu. Ukimjulia hali ataona unamjaliWhat next na mimi nina ego hatari
Basi nitafanya hivyoMpigie mkuu. Ukimjulia hali ataona unamjali
Sio tishio kama unavyosema ila their decision making system is not based on logic rather than unstable feelingsSalamu kwenu wakuu........Binafsi siyo mwandishi sana ila nitajitahidi kadiri niwezavyo kufikisha ujumbe.
Nimekaa nikawaza hivi kwanini wanaume tunatumia nguvu nyingi sana
1.Tupewe attention na wanawake
2.Kwanini mkazo unaelekezwa kuishi na wanawake kwa akili?
3.Kwanini hata hapa jukwaani hawa viumbe wanaonekana ni tishio kiasi hiki
4.Hii inakatisha tamaa kwa wale ambao hawajaingia kwenye mahusiano
5.Na pia inawajengea wanawake inferiority complex kwamba wao ni wa hivyo hivyo
6.Binafsi natamani sana kuishi kwa usawa bila kuwindana
7.Tusiumize vichwa sana kuhusu hawa viumbe tuwachukulie simple tu
Karibuni
Baba mtakatifu91 achana na mapenzSalamu kwenu wakuu........Binafsi siyo mwandishi sana ila nitajitahidi kadiri niwezavyo kufikisha ujumbe.
Nimekaa nikawaza hivi kwanini wanaume tunatumia nguvu nyingi sana
1.Tupewe attention na wanawake
2.Kwanini mkazo unaelekezwa kuishi na wanawake kwa akili?
3.Kwanini hata hapa jukwaani hawa viumbe wanaonekana ni tishio kiasi hiki
4.Hii inakatisha tamaa kwa wale ambao hawajaingia kwenye mahusiano
5.Na pia inawajengea wanawake inferiority complex kwamba wao ni wa hivyo hivyo
6.Binafsi natamani sana kuishi kwa usawa bila kuwindana
7.Tusiumize vichwa sana kuhusu hawa viumbe tuwachukulie simple tu
Karibuni
KwaniniBaba mtakatifu91 achana na mapenz