Tuttie
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,250
- 1,285
pamoja Sana 🙏safi
pamoja Sana 🙏safi
Kweli Mwanamke anayesamehe kwa sasa labda awe hajiwezi kiuchumi. na hata kama atakulipizia tu.
ukimsamehe atajua kua unajua kuvumilia atakufanya mnyonge wake aiseee
doh em ngoja ikinitokea nioneKama unampenda utasamehe tu
Mwanaume ukifanya kosa ukamsamehe mchuchu eti yamepita tugange yajayo ke' 'hatakuamini!!!Kiukweli wanawake ni wanaroho nyepesi sana anaweza kukufumania na rafiki au hata dada yake mkifanya mapenzi still atakusamehe na maisha yataendelea. Kwa upande wa sisi wanaume ni hatuwezi kusamehe mwanamke aliyefumaniwa wachache sana wanaweza but percent kubwa hatuwezi.
Wanawake mnaroho gani?
Kwa hapa BONGO , Wanasamehee 'Endapo' anakutegemea , ila ukute mwanamke anakipato chake vzuri, anajiamin, mamaeee Utabweka kama mbwaaa na bado atasepa.
Lkn pia anaweza akawa anakipato ila akahofia Utamu unaoumpa ataupata wapi? Nakwasababu wanaishi kwa hisia ,ataanza kujiaminisha kua Mwanaamke ndo kajirahisisha kwako.
Lkn pia Bila kujalisha uchumi , anaweza kukusamehe sababu nayeye Anatombwa nje ila hujui .
Lkn pia anaweza samehe lkn asisahau nahii ikamfanya nayeye kwanza atombwee nje ndo asahau.
Nihitimishe ivi, mwanaume anachepuka sababu ya kutaman kitu kimoja kimoja kwa wanawake tofauti yaaan huyu utapenda Pua, yule mdomo, yule mapaja, yule miguu, n.k....LAKINI mwanamke anataman vitu vingi kwa mwanaume mmoja yaan awe na Kazi, elimu, umbo lakiume ,sura ,kujiamin, romantic , pesa n.k ...... SASA ikitokea wee mwanaume una hivi vyote, basi hata kama atakufuma Atakusamehe na hatolipiza kisasi......
Bi Hilary Clinton na Mumewe +Mchepuko.... alipoulizwa Bi Hilary , alisema "Mwanaume wangu ni Mzuri sana nahivo wanawake wengi wanajirahisisha kwake".