Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,030
- 71,250
Wanakojoa mahali pa unono
Ndiposa nasemaga kuna watu wanafaidi...kama mwenye hio scania mayai#obheja
Ndiposa nasemaga kuna watu wanafaidi...kama mwenye hio scania mayai#obheja
Kweli Mwanamke anayesamehe kwa sasa labda awe hajiwezi kiuchumi. 😂😂😂 na hata kama atakulipizia tu.Boss hanuniwi. Economic freedom. If you know you know
waache wajishaue,Je,mnauhakika gani Kama huwa wanawasamehe,hawa viumbe nyie waacheni tu.
Anaitoa wapi Wala haina nafasi 🙅 huyu anakwambia nimekusamehe na makosa yako yajayoHahahaha jidada kama hili, unategemea lina roho mbaya kweli?.
😅😅Kweli Mwanamke anayesamehe kwa sasa labda awe hajiwezi kiuchumi. 😂😂😂 na hata kama atakulipizia tu.
Wewe unaweza samehe?
😀😀
Anaitoa wapi Wala haina nafasi huyu anakwambia nimekusamehe na makosa yako yajayo
😅😅 kwel mkuuHahahahhaha umenivunja mbavu hahahahahah kwamba anakusamehe namakosa yajayo
kwel mkuu
me inategemea ni nyeusi gani umenileteaNdo vzuri , wewe je??
me inategemea ni nyeusi gani umeniletea
😀😀
simsameh najikataa mapema tuu mkuuKama hiii ya kufumania ana mwanamke
Hahahahaha mbona unamoyo mgum.ivosimsameh najikataa mapema tuu mkuu
ukimsamehe atajua kua unajua kuvumilia atakufanya mnyonge wake aiseeeHahahahaha mbona unamoyo mgum.ivo
safiukimsamehe atajua kua unajua kuvumilia atakufanya mnyonge wake aiseee