Kwanini wanawake mnapenda kuuliza "umekula"?

Kwanini wanawake mnapenda kuuliza "umekula"?

kijana13

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
1,981
Reaction score
3,635
Habarini wakuu Nataka kujua kwanini hasa wanawake wanapendelea kuuliza maswali Haya kwa wapenzi wao au watu wa karibu
1.umekula? Ukisema ndio linafuata swali lingine la umekula nini au chakula gani?
2. Umepika? , umepika chakula gani?
Akina dada na wadau wengine nisaidieni maswali Haya yanatarget nini? Ina maana naweza jisahau kula? Au ndio chombeza za kuonyesha unajali au?
 
Na kuna linalonikera kuliko yote uko wapi?ukijibu yanafuata na nani?unafanya nini?jamani hata muda wa kusaka hela kwa mabepari tunaulizana?
 
Habarini wakuu Nataka kujua kwanini hasa wanawake wanapendelea kuuliza maswali Haya kwa wapenzi wao au watu wa karibu
1.umekula? Ukisema ndio linafuata swali lingine la umekula nini au chakula gani?
2. Umepika? , umepika chakula gani?
Akina dada na wadau wengine nisaidieni maswali Haya yanatarget nini? Ina maana naweza jisahau kula? Au ndio chombeza za kuonyesha unajali au?

care tuu mi siulizagi umepika nini bt km hajala namsisitiza kula, c unajua akiumwa ulcers na mi ntawajibika kuuguza?
 
hujawahi kumuuliza aliyekuuliza?
yeye atakuwa na majibu sahihi ya swali lako.
mwambie unavyopenda kuulizwa badala ya kukimbilia huku.
tema tuwachape!
 
Nilifikiri nikwangu tu kati ya madem niliikuwanao mchana.lzma nikumbane na hilo swali baby umekula ndio umekulanini baby .
 
usipoulizwa utakuja tena hapa..ooh, nani sijui hanijali, hata haulizi kama nimekula au la
ubinadamu mgumu!
 
wanaonesha ndo kujali kwa upande wao mana muda mwingine utapigiwa simu afu hana la kuongea,usishangae ni vijimambo tu!!!!
 
usipoulizwa utasema kuna anaeulizwaga au utasema hakujali nyinyi viumbe mnatakaga nini muda mwingine nashindwa kuelewa SEREKALI 3 AU 2,????
 
Back
Top Bottom