Mh hayo ya wap tena????Huwa anapunguza upepo unaoingia ndani kwani ukizidi inavyotakiwa basi kuna kamruzi katapiga kitu ambacho hakitakiwi vile.
Mh hayo ya wap tena????Huwa anapunguza upepo unaoingia ndani kwani ukizidi inavyotakiwa basi kuna kamruzi katapiga kitu ambacho hakitakiwi vile.
Hahhahahah mm bibi yako basi nipe shikamoo mm
haiwezekani. So unataka kuniambia ungekua gari tungesema umezeeka engine ila body bado nzima ?
Nimezeeka kila kitu mm mobutu na huu uzeehaiwezekani. So unataka kuniambia ungekua gari tungesema umezeeka engine ila body bado nzima ?
Ni kwamba hujui wanampasuo huku chini, unataka wachanike???Inatokea umekaa na mdada au mwanamke baada ya muda anabana miguu anakua anamanisha nini?
Hii imenitokea tukiwa tumekaa kwenye foleni tukisubiria huduma sasa bidada nikaona kama kalegea hata anavyoongea.
Hajui kuwa mna mpasuo huko chini mkijiachia mnaweza kupasuka...Shikamoo
Kojo la bao
Mgeni ndio alikuwa weweHahahahh
Pole zako.
Nije mie mbadala wake?
Aisee!Tunazuia mkojo
BaadaeNa kapicha basi.
HahahhahaMgeni ndio alikuwa wewe
Mimi naendelea kuvuta subira tuHahahhaha
Haya naja
😀😀Hawa viumbe ukimwambia kaa vizuri wakati wa mchana, lazima atabana miguu.
Na cha ajabu ni pale unapo mwambia akae vizuri wakati wa usiku, hapo ata panua miguu....tehteehh
Hivi ulijibu nn kuhusu "Mtwara na JWTZ" nlipookuliza?Kweli na uzee ulionao unanipa shikamoo
Ukikaa mguu sawa muda mrefu ndiyo unaweza kuanguka ukikaa mguu pande unakula shumbwelaUkisimama muda mrefu obviously hauwezi kutanua miguu