Kwanini wanawake hubana miguu?

Kwanini wanawake hubana miguu?

Ukikaa mguu sawa muda mrefu ndiyo unaweza kuanguka ukikaa mguu pande unakula shumbwela

Baada ya kukaa mguu pande utafanyeje?

Je wewe ni mwanamke au umewawakilisha?
 
vitu vingine ni vema ukamuuliza muhusika hapo hapo kabla hujaja kutupigisha ramli huku.
 
Ulimuuliza muhusika? maaana kama kitu kipya kwangu hicho
 
That's why I loved you.. Nilikumiss sana pa1 nakibituulichonipa, ila nimejikaza hadi nikuchokoze na mention au quote ndio unijibu
I love you more my honey....♡♡♡♡♡
Nami pia nakumiss sana tu,
Usijali, utapata kila siku.
Ipo kwa ajili yako.
 
Demu Wang flani iv aliwahiniambia kua akinyegeka ktk mazingra yasiyo rafiki basi anabana miguu ili kuondoa hali hiyo.
 
Inatokea umekaa na mdada au mwanamke baada ya muda anabana miguu anakua anamanisha nini?
Hii imenitokea tukiwa tumekaa kwenye foleni tukisubiria huduma sasa bidada nikaona kama kalegea hata anavyoongea.
Huwa tupo mazoezini.... Kegel inahusika......
 
Inatokea umekaa na mdada au mwanamke baada ya muda anabana miguu anakua anamanisha nini?
Hii imenitokea tukiwa tumekaa kwenye foleni tukisubiria huduma sasa bidada nikaona kama kalegea hata anavyoongea.
Una umri gani?
 
Back
Top Bottom