Kwanini wanawake hawapendi kutumia Kondomu!

Kwanini wanawake hawapendi kutumia Kondomu!

agatony8l

JF-Expert Member
Joined
Oct 25, 2010
Posts
453
Reaction score
103
Zaidi ya mara kadhaa ya relation ship zangu nimegundua Wanawake ndo watu wa kwanza kupinga matumizi ya mpira kwa kisingizio cha kuwaumiza. Na mara nyingi Mwanaume asipo kuwa na msimamo katika matumizi ya condom basi matumizi huishia hapo Na kuwa kavu kavu, kikubwa wanachojali ni Mimba tu so wakiwa wapo kwenye safe days wanaona wapo Safe kwa kila kitu

GT hasa Wadada naomba mje mdadavue hili na kutupa majibu
 
Wadada hawapendi kwakuwa wakaka pia hawapendi. It takes two to tango.
 
Zaidi ya mara kadhaa ya relation ship zangu nimegundua Wanawake ndo watu wa kwanza kupinga matumizi ya mpira kwa kisingizio cha kuwaumiza. Na mara nyingi Mwanaume asipo kuwa na msimamo katika matumizi ya condom basi matumizi huishia hapo Na kuwa kavu kavu, kikubwa wanachojali ni Mimba tu so wakiwa wapo kwenye safe days wanaona wapo Safe kwa kila kitu

GT hasa Wadada naomba mje mdadavue hili na kutupa majibu


Hebu nianze na wewe kwanza unajua aina ngapi za condom???!!!
Aina ngapi ya rubber hutumika kutengenezea condom???!!
Unajua aina ngapi za mafuta yanayotumika kulainishia condom? ??!!!
Je unajua mzio na visababishi vyake???!!!
Unajua texture ngapi za condom na kwa nini zipo hivyo???!!!!
Je unajua joto ambalo ni salama kwa kutunzia condom???!!


Au kushutumu wanawake tu ilhali hata sie baadhi yetu tuko shallow sana juu ya condom!!!
Nakupa changamoto; Hebu fuatilia brand ya durex tu uone varieties. na rationales zake halafu rudi hapa!!!!
 
Zaidi ya mara kadhaa ya relation ship zangu nimegundua Wanawake ndo watu wa kwanza kupinga matumizi ya mpira kwa kisingizio cha kuwaumiza. Na mara nyingi Mwanaume asipo kuwa na msimamo katika matumizi ya condom basi matumizi huishia hapo Na kuwa kavu kavu, kikubwa wanachojali ni Mimba tu so wakiwa wapo kwenye safe days wanaona wapo Safe kwa kila kitu

GT hasa Wadada naomba mje mdadavue hili na kutupa majibu

ngoja waje
 
Condom ni kitu gani. sijawahi kuiona kwenye menu ya hoteli au bar.
 
Hebu nianze na wewe kwanza unajua aina ngapi za condom???!!!
Aina ngapi ya rubber hutumika kutengenezea condom???!!
Unajua aina ngapi za mafuta yanayotumika kulainishia condom? ??!!!
Je unajua mzio na visababishi vyake???!!!
Unajua texture ngapi za condom na kwa nini zipo hivyo???!!!!
Je unajua joto ambalo ni salama kwa kutunzia condom???!!


Au kushutumu wanawake tu ilhali hata sie baadhi yetu tuko shallow sana juu ya condom!!!

Mkuu unajua unaweza kukuta kakutana na vimalaya viwili vitatu vilivyojichokea na maisha, ye akakonkludi wanawake wengi wako hivyo.
 
Mkuu unajua unaweza kukuta kakutana na vimalaya viwili vitatu vilivyojichokea na maisha, ye akakonkludi wanawake wengi wako hivyo.

Halafu anachukulia kama ndio ukweli mkuu na wa pekee chini ya jua!!!!!!
Mbaya zaid yeye mmoja kapiga hizo gemu bila kinga halafu anawalaumu hao multiple concurrent partners ambao yaweza kuwa kote hutumia kinga isipokuwa kwake yeye tu!!!!!
 
Halafu anachukulia kama ndio ukweli mkuu na wa pekee chini ya jua!!!!!!
Mbaya zaid yeye mmoja kapiga hizo gemu bila kinga halafu anawalaumu hao multiple concurrent partners ambao yaweza kuwa kote hutumia kinga isipokuwa kwake yeye tu!!!!!

Waliosema nyani haoni kundule hawakukosea.
 
Kiukweli wanawake hawanaga sauti ya ushawishi juu ya matumizi ya CONDOM hilo nshalifanyia utafti kwa muda mrefu sana.
Mwanamke ni mwepesi sana kutamka matumizi ya kinga kwenye maongezi lakini kunako 6/6 ni dhaifu sana na kinachochangia ni kwamba me huanza kumpandisha mihemko ke na afikiapo kuerect tiari ke anakuwa keshalegea anachohitaji ni kuingiliwa tu na hata akileta upinzani hukosa nguvu ya ushawishi ni kwasababu mara zote hawapendi kuipoteza hali ya mihemko aliyoifikia!
 
Zaidi ya mara kadhaa ya relation ship zangu nimegundua Wanawake ndo watu wa kwanza kupinga matumizi ya mpira kwa kisingizio cha kuwaumiza. Na mara nyingi Mwanaume asipo kuwa na msimamo katika matumizi ya condom basi matumizi huishia hapo Na kuwa kavu kavu, kikubwa wanachojali ni Mimba tu so wakiwa wapo kwenye safe days wanaona wapo Safe kwa kila kitu

GT hasa Wadada naomba mje mdadavue hili na kutupa majibu

Wanawake wengi huwaamini wapenzi wao kwa kupima kwa macho. kwao wao wanadhani ukimwi uko mbali sana. walio makini kwa kiasi ni ma bar maids,hawa huwa makini sana na wakati mwingine hutaka washuhudie ikivaa vizuri na salama kwa mchezo.
 
Back
Top Bottom