Tunaogopa sindano ila hatuogopi kupigwa vizinga na nyie viumbe...
😂😂😂Na nyie mnaogopa dawa...
Nadhani sisi angalau tuna sababu japo kidogo.
Tunaogopa sindano ila hatuogopi kupigwa vizinga na nyie viumbe...
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyie mnaogopa dawa...
Nadhani sisi angalau tuna sababu japo kidogo.
Huwa hatutaki kuangaliwa makalio yetu mkuu.
Una jengine? Maana huu ni uchokozi tu
Hayana kitu, tunaona aibu tu.
Kwasababu hata siye sindano tunazo na madhara yake tunayajua.
😅😅😅Huwa hatutaki kuangaliwa makalio yetu mkuu.
Una jengine?? Maana huu ni uchokozi tu