hili nimeliona kwa vijana wengi sana Dsm. Wakimaliza chuo wanakuwa watanashati hasa, tatizo linakuja mara wanapoanza michakato ya kuoa.
Hunenepeana hovyo na kufura kama vyura wa Kihansi.
Boys watch out what you are eating
hili nimeliona kwa vijana wengi sana Dsm. Wakimaliza chuo wanakuwa watanashati hasa, tatizo linakuja mara wanapoanza michakato ya kuoa.
Hunenepeana hovyo na kufura kama vyura wa Kihansi.
Boys watch out what you are eating
Wapi hiyo signature bana?hebu soma signature yangu
bora ukae pembeni ka mm fariki! kuepusha msongamano!Du mada nyingine ngumu kuchangia.kwan mtu akinenepa shida yake ni nn, pafomansi ina uhusiano na kunenepa?