Hivi lini mtakubali kuwa na mapungufu bila kusingizia wanawake? Ni kweli shida hii kwa wanaume imekuwa kubwa sana, kama mnaona kukataa tatizo ndio suluhisho it is ur loss. Unaweza usiwe wewe lakini wengine wanalo; utafiti rahisi ni uwepo wa midawa kibao ya kuongeza nguvu za kiume. Na usinipe hiyo sh.t ya kuwa wanawake hawatoi ushirikiano, unless umechukua changu au umebaka; kama mdada ameridhia mwenye kushiriki tendo la ndoa na wewe lazima atatoa ushirikiano mradi tu anaenjoy, lkn kama unamboa hapo ndipo ushirikiano unakuwa mdogo.
Neno!
wawili wanahusika.Ila wakaka mjitahidi kupokea criticism na kuzifanyia kazi pale mnapoona zinawahusu.
Halafu punguzeni mishemishe - mnabadilish amno wanawake.Ushajiuliza ni wanawake wangapi umewasugua kwa style tofauti tofauti? Mnajua hicho nacho kinasababisha kiwango kushuka? Hata machine hupumzishwa kufanyiwa service kila baada ya kilomita kadhaa.
unajidanganya hawa jamaa wakiwa nyumba ndogo ni mwendo wa bao 5-6 kwa wife 1-0.
Hivi lini mtakubali kuwa na mapungufu bila kusingizia wanawake? Ni kweli shida hii kwa wanaume imekuwa kubwa sana, kama mnaona kukataa tatizo ndio suluhisho it is ur loss. Unaweza usiwe wewe lakini wengine wanalo; utafiti rahisi ni uwepo wa midawa kibao ya kuongeza nguvu za kiume. Na usinipe hiyo sh.t ya kuwa wanawake hawatoi ushirikiano, unless umechukua changu au umebaka; kama mdada ameridhia mwenye kushiriki tendo la ndoa na wewe lazima atatoa ushirikiano mradi tu anaenjoy, lkn kama unamboa hapo ndipo ushirikiano unakuwa mdogo.
heri lakini msituzeeshe bure kwa kutubinuabinua usiku kucha.dkk 2 watu tunalala kwa raha hadi mwezi uishe ndo kingine tena
kweli kabisa maneno yako na ukiuliza vp unasikia nna stress,au mtu anakupandia kama anapanda farasi kelele mapaka unajuta kwanini umeolewa na yeye,ukimwambia tusifanye hivi tujaribu hivi dooooo! hapo kesi yake sio yakawaidida umeona wapi umefundishwa na nana ilimradi dhiki....
Unaweza kupiga kimoja lakini kikawa cha ukweli...
Ewaaaaaaaaaa,.....
You have said it all.
Kama kimoja unapiga dakika 30-40 kwanini urudie kingine?
Kwanza wanaume siku hizi wajanja sana,wanajua sababu ya waume wengi
kufa kabla ya wake zao ni kwasababu ya kukojoa kojoa,............
Nipige vitatu ili nani anisifu?
Pata kimoja cha dakika 30,...maandalizi nimekupa kama haujaridhika mmm tusiuane
katafute wasio penda kuishi maisha marefu.
na kama hali ndo hy ujue kbs kuwa mkeo naye ananyumba ndogo inayomridhisha kwelikweli ndo mana hahangaiki na wewe.kama ni hiyo ni kweli, basi nyumba ndogo inakuwekea enabling environment ya ku-perform vizuri zaidi kuliko nyumba kubwa
mmmh hv kimoja kinaweza kuwa cha ukweli kweli?
hamna hawawezi kokote
wengine tumechezea number zote
tukubali tu ukweli wanaume tulio nao ni mwendo wa 1 bila moja bila
Mlo bora (more vegetables )
Mazoezi ya kutosha
drink plenty of water
good sex life
Very simple recipe ..
Kuna kitu kinanishangaza sana, siku hizi wanaume wengi wamekuwa wakifurika kwa wataalam wa madawa ya asili kwa ajili ya kuweza kudumisha uwezo wao wa kitandani. Inadaiwa kuwa wanaume hao wakienda raundi moja hawawezi kurudia ile ya pili na hata wenye uwezo wa kurudia huwachukuwa muda mrefu sana, kama raundi ya kwanza iliisha saa tano usiku basi ya pili inaweza kurudiwa saa 12 asubuhi.
Tatizo kubwa ni kwamba wanaume wengi huwaandaa wake zao kwa muda mchache au hawajui kabisa jinsi ya kuwaandaa wake zao kwa ajili ya tendo la ndoa, wengi wanaparamia kama vile wanavyoparamia baiskeli, pia wanaume hao hawajui kufuata hatua za kujizuia kuweza kuwahi 'kufikisha mzigo melini' na hatimaye kuwafanya wawe wa kwanza kufikisha mzigo na kushindwa kuwaridhisha wake zao.
Inadaiwa kuwa tatizo hili linatokana na wanaume wengi kuacha kula vyakula vya asili vinavyoweza kuwafanya wawe na nguvu muda wote, pia inadaiwa kuwa wanaume wengi hawafanyi mazoezi ambayo yangeweza kuwafanya wawe vizuri kitandani.
Wengi wa wanaume wanapokwenda kwa wataalam wa madawa ya asili wanakuwa hawajui tatizo lao hasa, ndio maana wapo wanaume wanaokimbilia kwenda kukuza ukubwa wa maumbile kwa kuamini kuwa majogoo yao yakiwa makubwa wanaweza kuwaridhisha wake zao, kitu ambacho ni uongo mkubwa.
Hawajui kuwa hata kama siraha zao ni ndogo wanaweza kuwafanya wake zao watosheke kwa kuwafanyia utundu na kujua jinsi ya kujizuia ili wasiwahishe mzigo bandarini kabla ya wake zao, wanashindwa kuwafanya wake zao wawahi kufikisha mzigo kabla yao.
Tatizo hili limesababisha wanaume wengi kudharauliwa na wake zao hata ndoa nyingi kuvunjika.