assuredly4
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 1,216
- 220
mm nawashauri wanandoa wajenge tabia ya kukaa na kululuhisho mambo yao kisha wapate amani mioyoni mwao, hicho kitarejesha nguvu za kiume wanazotaka kutoka kwa waume zao. Je GT si humu humu wako wanawake wengi walikuja na mada za kulalamikia waume zao kuwa tangu walipowaoa wanatoa dozi kubwa ya kima cha chini 4 hadi 7 kwa siku je nguvu hizo zilitoka wapi na wajiulize je hizo nguvu kwanini zimeondoka?