he he..leo umewagusa vibamia wengi..!
Kizazi cha waume wa mbegu kiliisha zamani, wasasa mauzauza tu.
Duuuuhhhh! Jamani, jamani mbavu zangu.heri lakini msituzeeshe bure kwa kutubinuabinua usiku kucha.dkk 2 watu tunalala kwa raha hadi mwezi uishe ndo kingine tena
hivi kuridhika kwa mwanamke kukoje? Wanawake wenyewe ndio wanaosababisha hili jambo maana likimtokea mwanaume wanaanza kumlaumu na hivyo kupelekea mwanaume kushindwa kujiamini. Tendo la ndoa ni pande zote mbili kwa mwanamke na mwanaume.
Wanataka kulidhishwa tu bali hataki kushiriki ili huyu mwanaume amridhishe. Mwanamke unakuta analala kama gogo huku emejificha uso eti anaona aibu, ukimwambia chezea machine anaanza kuchekacheka halafu akiishika anaanza kusema eti mbona kadogo. Maswali gani ya kipuuzi kama hayo kwa mwanandoa wako.
Kizazi cha waume wa mbegu kiliisha zamani, wasasa mauzauza tu.
I like it
Hivi lini mtakubali kuwa na mapungufu bila kusingizia wanawake? Ni kweli shida hii kwa wanaume imekuwa kubwa sana, kama mnaona kukataa tatizo ndio suluhisho it is ur loss. Unaweza usiwe wewe lakini wengine wanalo; utafiti rahisi ni uwepo wa midawa kibao ya kuongeza nguvu za kiume. Na usinipe hiyo sh.t ya kuwa wanawake hawatoi ushirikiano, unless umechukua changu au umebaka; kama mdada ameridhia mwenye kushiriki tendo la ndoa na wewe lazima atatoa ushirikiano mradi tu anaenjoy, lkn kama unamboa hapo ndipo ushirikiano unakuwa mdogo.
Ni kweli hali hii ipo, mimi binafsi nimeishuhudia katika miaka 7 ndani ya ndoa, ni goli moja tuu, hakuna la pili wala la tatu. Jamaa mazoezi anashiriki kula sometime anakula hadi karoti za kuchemsha tuu na brocoli, lakini ngoma ni ile ile. Nahisi ni vile ambavyo wanaume wengi wanazoea wakiwa watoto vile vigoli vya kujiiba iba katika kombolela na michezo mingine, so hadi mtu anakua anakuwa na misuli hewa tuu. Akisha pata bao basi mwanamke kama ulikuwa unaanza kuja ujuwe ndo imetoka hoyoo ikirudi pancha!
heri lakini msituzeeshe bure kwa kutubinuabinua usiku kucha.dkk 2 watu tunalala kwa raha hadi mwezi uishe ndo kingine tena