Kwanini wanaume wasomi na matajiri wana vibamia?

Kwanini wanaume wasomi na matajiri wana vibamia?

Kwa hiyo wenye miguu ya watoto wote Masikini......Aisee! Nakupongeza hii research yako inaonekana umeifanya kwa kina. Hongera dada we Hatari unaweza kumaliza kijiji.
 
Ata mpata wapi aende darasa lakwanza A atapata asiye kuwa used
Ata kama ambao sio used ni ngumu kuwapata basi mtu kua na size ndogo isiwe kejeli!!! Nimeona nyuzi nyingi humu zinaongelea wenye size ndogo adi kupewa jina kibamia... Kosa si lao!!! Ni sisis wanawake. Na mwanaume wa size hiyo akikutana na mwanamke atakaemkejeli hivyo wala asiumie moyo... Yeye yuko perfect ishu ni huyo mwanamke!!!
 
KWA HIYO KILA ANAYEPINGA HII HOJA KUMBE NI MSOMI AU TAJIRI NA MM NAPINGA
 
Mimi bado nashindwa kutambua msomi ni mtu aliyefika level ipi kielimu!!
Au tajiri unaemzungumzia ni mwenye uwezo kiasi gani wa fedha!!
Mfano huku kijijini kwetu wananiita msomi na elimu yangu ni form four yenye (fa fa fa) na pia wameanza kuniita tajiri sababu namiliki baiskel mbili na mifugo kadhaa.
Je nafiti kwenye kundi la wasomi na matajiri?
 
Mada za Mapenzi.. Zile za Kishenzi.... ZIMAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA
 
Kuna uzi humu ulishaeleleza kwamba kuna inverse relationship kati ya IQ ya mtu na size ya dushe. Kwamaneno mengine ni kuwa kisayansi the bigger the dushe the lower the IQ and the smaller the dushe the higher the IQ. Angalia nchi za wenzetu wanaosifika kwa kuwa na vibamia walivyo wabunifu na wanavyopiga hatua mfano China, n.k.


Hivyo ukiwatafuta % kubwa ya matajiri na wasomi nguli watakuwa na vibamia sio kwa sababu ya pesa au elimu yao bali kwa sababu ya IQ zao ndo wamefika hapo walipo kimafanikio.

Sasa sisi weusi tunavyopenda ngono ndo maana tunakomalia madushe makubwa na tunabaki kuwa maskini wa mali na akili. Dada chagua moja, unataka dushe kubwa au mafaniko??UKipe moyo wako unachohitaji
 
vibamia halafu hawataki hata kujituma yaaan utadhani ilikuwa udinywe na burungutu la pesa
 
Jibu ni rahisi sana! Mungu hakupi vyote na wala hakunyimi vyote. Maumbile yetu ni Mungu mwenyewe anaamua yafananaje.
Kama hujaridhika na jibu hili. jitahidi sana kutenda mema, ili ukifa, uende Peponi. Huko utaweza kujibiwa ana kwa ana na Mungu mwenyewe.
 
Sidhani kama kuna uhusiano wa elimu/utajiri na size ya dushe. Vipi umewajaribu na hao ambao hawana elimu/matajiri wapoje? Nadhani utamaliza maelfu ya wanaume kwa kutafuta size unayotaka
 
Darwin Theory of Evolution: Kiungo unapokitumia sana ndo kinakuwa strong, usipokitumia kinapotea.. Wasomi na Matajiri wanatumia sana ubongo wanasahau sana kutumia kiungo chao cha uzazi mara kwa mara..
 
Back
Top Bottom