Kwanini wanaume wasomi na matajiri wana vibamia?

richaabra

JF-Expert Member
Jul 12, 2016
1,472
3,511
Katika wanaume wote niliowahi kuwa nao wasomi na matajiri wote kati yao walikuwa na vibamia. Lakini kinachonishangaza ni wanaume wasio na elimu na wenye maisha ya kawaida ambao niliwahi kuwa na mahusiano nao siku nilipowaonjesha show. Wote walikuwa na miguu ya watoto.

~Hapa ndio ninapata jibu kwanini wanawake tulioolewa au kuwa na mahusiano na Wasomi/Matajiri huwa tunachepuka na vijana wa mtaani?

Jibu ni wana miguu ya watoto na wanajua kutushughulikia vizuri.

Naombeni jibu!
 
Haha haha.... Usilaumu size ya Bamia linalozama, bali laumu kina cha bakuli.
 
kwa maana hiyo umesha labwa na wasomi wote....matajiri wote....na wengine wote unao dhan wana hawana vibamia. itakuwa imechakazwa kama uwanja wa mpira wa chadimu.
 
Back
Top Bottom