Ndiyo,kwani cha ajabu nini? Si moja ya swaga tu. Hebu vuta hisia wewe ni kijana kuanzia miaka 25-35 au 40...una moto bike yako CC 600,bomba 2 alafu ina crazy sound unakatisha mitaa ya Mbezi tangi bovu hadi Boko unaelekea kula weekend
yako Bagamoyo...nyuma ya bike yako umempakiza mrembo mzuri amekukumbatia huku akiwa na pensi ya jinsi na laba...alafu wewe mwenyewe umesuka line za kiume kichwani na umetupia black sun glass.
Usipime wangu!...watu weweeeee! Ala chezea wewe