Kwanini wanaume wanasuka nywele?

Naomba kukurekebisha sio nywere ni nywele.....
mi naona hizo ni tabia za kike tu kusuka,kuvaa hereni
wanavaa na skin jeans zetu mwisho nao wanataka wafanyiwe kama tunavofanyiwa sie
 
Kusuka ni utamaduni au style ya maisha mtu ameamua.

Wamasai, Rasta farri wanasuka.
 
Mambo ya ujana; kama mtu umekulia vijijini lazima ushangae vitu kama hivyo... lakini kwa mjini ni jambo la kawaida mwanaume anasuka, anavaa heleni, cheni n.k na wengine wanafunga vilemba kichwani - KAWAIDA TU. Mbona hujiulizi mwanamke kuvaa suruali na kunyoa kipara???
 
Naomba kukurekebisha sio nywere ni nywele.....
mi naona hizo ni tabia za kike tu kusuka,kuvaa hereni
wanavaa na skin jeans zetu mwisho nao wanataka wafanyiwe kama tunavofanyiwa sie

nyie mnafanyiwaje wangu?????
 
Naomba kukurekebisha sio nywere ni nywele.....
mi naona hizo ni tabia za kike tu kusuka,kuvaa hereni
wanavaa na skin jeans zetu mwisho nao wanataka wafanyiwe kama tunavofanyiwa sie
Umeona eeh yaani wanatamani wangezaliwa Wanawake LOL Mungu anusuru vizaz vyetu
 
Naomba kukurekebisha sio nywere ni nywele.....
mi naona hizo ni tabia za kike tu kusuka,kuvaa hereni
wanavaa na skin jeans zetu mwisho nao wanataka wafanyiwe kama tunavofanyiwa sie

nini 0715...???
 
kuna wanaosuka kwa sababu huo ni utamaduni wao mfano wamasai, na kunawanao suka sababu ya ujana drogba anaweka dawa ya nywele ambayo hutumiwa na wanawake ovious halafu kuna rastafarians
 
Naomba kukurekebisha sio nywere ni nywele.....
mi naona hizo ni tabia za kike tu kusuka,kuvaa hereni
wanavaa na skin jeans zetu mwisho nao wanataka wafanyiwe kama tunavofanyiwa sie
Wasiwasi wako hauna ukweli na kabla sijaendelea kuchangia huu uzi, nakuomba wewe na Munkari muwaombe radhi wamasai na makabila mengine ambayo wanaume kusuka na kuvaa hereni ni sehemu ya utamaduni wao.
 
will be gay for 07139000.. express yourself..
 
MillionHairs, kweli mimi ni kijana wa umri huo wa 25-40 lakini swaga za namna hiyo kusuka, maadili yameniepusha, lakini vyovyote vile ikiwa kura raha hata ukiwa na mkoko wako na familia yako unakula tu kokote na vizuri kuliko hizo swaga za ajabu....
 
Last edited by a moderator:

Powa bro; umenena ...... Wanaopinga staili za kusuka wanaume labda hawakupitia ujana ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…