Kwanini wanaume wa kichaga hawako romantic?

Kwanini wanaume wa kichaga hawako romantic?

Status
Not open for further replies.
Jibu ni rahisi tu dada. Wanawaza namna ya kupata pesa. Wewe ndio umwelekeze apeleke wapi na aingize wapi, yeye anajua kuwa baada ya miezi 9 nyumba inapata mgeni. Anaendelea kuwaza, huyu mgeni ajaye atakula nini na huyu mke wangu sitaki akonde, wataka awaze romance hiyo biashara ikiyumba mtakula hilo denda??
Hakuna wanaume wazuri ka hao
 
NJOO KWA WAMERU TUKO ROMANTIC, HAO WANAFUKUZIA MBEGE TU HAWAJUI HATA KUBEMBELEZA
 
Utawaza mwenyewe mkuu Romantic..wao wanawaza pesa tuuuu na maisha mazuri ndo maana hili taifa la Kichagga lipo mbele sana kimaendeleo.
 
Kwa sababu tupo bize kusaka HELA na sio MBUNYE zenu....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom