Kwanini wanaume wa kichaga hawako romantic?

Kwanini wanaume wa kichaga hawako romantic?

Status
Not open for further replies.
Mimi ni mchaga na nimeachwa eti sijui mapenzi. Nikauliza mbona watoto ninao na wanafanana na mimi. Hiyo romantic inauzwa duka gani?
 
Utakua romantic una njaa kali,umefulia,huo uromantik utakusaidia nini
 
  • Ila tatizo hujafunguka weka wazi je? wana matatizo gani? ni wabaridi? wavivu? Funguka nasi tufunguke na vyakwetu tulivyonavyo labda na ss tumo
 
Hii Mbegu inayafutwa kwa udi na uvumba mwanaume Wa kichaga,nashangaa unawaponda !...wasichana huona fahari sana kusema wameolewa na mwanaume Wa kichaga...sijui kwnn nakushangaa ww

kama kamuona mchaga co romantic aje ajaribu na huku kwetu kwa wanaume wakifipa
 
Romantic?? Ndio kiasi gani hiki cha pesa wazee nmambie?? Endelea kuhangaikia u romantic.K lyn anaogelea kwenye hela alifwata u romantic wa kifaru Mengi?? Acha umbulula wewe mamiloo.Tafuta hela huwezi acha tuendelee kuzisaka u romantic tupa kule!
 
Huu uzi siondoki mbaka nione mwisho wake, naona ndugu zetu wachaga povu linavyowamwagika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom