Kwanini wanaume wa kichaga hawako romantic?

Kwanini wanaume wa kichaga hawako romantic?

Status
Not open for further replies.
Kimuonekano wako vizuri ila hawako romantic kabisaaaaaaaaaaaaaa
 
pole, naona umeenda kwa hao unaodhani wako romantic ukakuta mfukoni hawana kitu... huwezi kupata kila kitu... wewe achana nao nenda kwa walio romantic kwani shida ni nini?
 
Kama anakutunza kukujali na kukuheshimu yatosha hivyo vingine ni vipaji vya mtu binafsi haihusiani na kabila. My man ni mchaga too
 
Hii Mbegu inayafutwa kwa udi na uvumba mwanaume Wa kichaga,nashangaa unawaponda !...wasichana huona fahari sana kusema wameolewa na mwanaume Wa kichaga...sijui kwnn nakushangaa ww
Very proud kwa sababu wanajali mno familia zao
 
Hayo maromantiki sio maishu chalii yangu naweza kuwa romantiki lakini sina ujanja kwa bed eroooo
Mwanaume mashine mwanaume kazi
Mwanaume pesa hayo maromantiki ni mambo ya kibishoo

Umeshawahi kuona mchaga bishoo??????
 
NIMEKUJA MJINI KUTAFUTA HELA HAYO MAMBO YA ROMANTIC KWENU HUKO KWANGU NI MWENDO WA KUPIGWA TATU MZUKA UNASEPA UNATAKA NIWE NAKUBEBA MGONGON NDO UJUWE NAPENDA HUO UPUUZI SIFANYI UTAKUTA MTU MWENYEWE UNA K MBAYA KAMA NDONGA LA UCHWARA
 
Watu bhana eti proud kuwa na wanaume wa kichaga huku niliko walaa hawashobokewi watu wanawakwepa eti kisa wabahili ukiongeza na hilo kwenye mada tajwa ndo basi teeena!na mnaosema wanajali famili zao labda kwao huko wangapi tunaona wametelekezewa watoto na hao wachaga au wengine wanapewa matumiz sh10000!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom