Kwanini Wanaume tunakuwa hivi baada ya ndoa?

Kwanini Wanaume tunakuwa hivi baada ya ndoa?

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
25,210
Reaction score
40,652
IMG-20181129-WA0013.jpg
l
 
Utafiti uliofanywa na Ljungberg Kluivert Reasearch Center na Hu Ah Wei Statistics Bureau ulionyesha kua kwa wastani kabla ya ndoa mwanaume hutoa lita moja ya manii kwa wiki mbili.

Baada ya ndoa hutoa lita kumi (ndoo ndogo) ya manii kwa wiki mbili.

Go figure.
 
Kuishi maisha ya ndoa kuna option mbili tu ili ufurahie ndoa na maisha mengine ya kawaida!!!....

Ni kwamba uchague kuwa mtu wa kukazania na kuweka mambo moyoni na kuwa mtu ambaye muda wote amekosa furaha na sononeko....Au Uwe mtu wa kupuuzia mambo madogo madogo na kusamehe na kusonga mbele na maisha ya ndoa!!!!....

NB;

Maisha ya ndoa kwa wanaume yanataka ushujaa kama kipande cha sabuni ndani ya maji au mshumaa..!
 
Utafiti uliofanywa na Ljungberg Kluivert Reasearch Center na Hu Ah Wei Statistics Bureau ulionyesha kua kwa wastani kabla ya ndoa mwanaume hutoa lita moja ya manii kwa wiki mbili.

Baada ya ndoa hutoa lita kumi (ndoo ndogo) ya manii kwa wiki mbili.

Go figure.
Ndo maana mnakufa
 
Mnatumia nguvu nyingi sana kwenye hiyo michepuko yenu....ila kule kwetu n kinyume chake mwanamke akiolewa anakonda mwanaume akioa anapendeza
Hiyo ilikua enzi zetu mshiki, saivi kijana akioa huku kijijini akienda na mkewe mjini akirudi baada ya miezi sita mke unakuta amenona si mchezo.
 
Hiyo ilikua enzi zetu mshiki, saivi kijana akioa huku kijijini akienda na mkewe mjini akirudi baada ya miezi sita mke unakuta amenona si mchezo.
Labda waende mjini maana wakibaki kule maskan mwanamke anakuwa mgumu kuliko hata mwanaume kwa sababu ya kazi na majukumu ya malezi ...kama kwenda shamban kule n kazi ya wanawake wanaume wanasema hawawez kulima
 
Back
Top Bottom