MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Wapo watu hasa Wazee wa Taifa leetu ukiwahoji kuhusu katiba yetu utasikia Katiba yetu ni nzuri Sana, ningependa kujua uzuri wa hii katiba Ni madaraka iliyokabidhi kwa viongozi au ni madaraka iliyokabidhi kwa wananchi?