Kwanini wanandoa wengi hawapo "romantic"?

Kwanini wanandoa wengi hawapo "romantic"?

Ni ngumu sana kukaa na mkeo masaa mawili asikulaumu,nilikwambia usinunue bondeni wew umenunua unaona sas maji yajaa ndan,nilikwambia lipa ada mapema wew hukulipa,yaan lawama haziishi naa siku nyingn umejiandaa leo nitafanya mapenzi yaan ile umefika kitandani unaanza kukumbushiwa madeni na mipango kazi ya maendelea mwisho wa siku kichwa kdg kinanywea, lakin mchepuko yeye hana yote hayo anajali hesabu yake tu kicheko hadi mwisho. Acha ndoa ziende hivyo hivyo zinavyoenda
 
Wakuu, habar za weekend.

Leo naomba kuuliza wanandoa waliopo humu, hata wale ambao bado mabaharia mnakaribishwa sna maana nyie ndo wahanga wakubwa wa hili suala. Mwanzon munakuwa na mapenzi makubwa kwa wenza wenu lakini baadaye mambo yanaharibika.

Kwanini wakati wa mwanzo wa mahusiano mnakua very romantic mpaka mnapelekea ndoa, na baada ya ndoa wengine hata mwaka hujaisha wameshaanza mipango ya kando na wanabadilika kabisaaa, mapenzi hakuna -- yaani "wanabakana" kwenye ndoa zao.

Hao hao wanandoa kila mmoja akipata mchepuko nje ana-partcipate vizuri lakini akija kwa mumewe au mkewe wanaishi kama wazee.

Hakuna mahaba, hata text tu. Huwezi kuta wanandoa wanachat mambo ya mapenzi, sana sana ni inshu muhimu tu. Hakuna hata nakupenda mpenzi, au I miss u, I love u nk, hakuna hizo vitu, zilishaishaga.

Ndo maana wanawake wanajitahid kutafuta makungwi na kujiunga kwenye magroup ya WhatsApp wanafundishwa namna na kumshika mwanaume akupende, na mwanaume nao wako bize kushinda kwenye mitandao ya kijamii kutafuta company na marafiki wa kike.

Yaan upendo umepoa kabisaa. Yale malovee hakuna kabisa kwenye ndoa zetu. Kabla hamjaoana mlikuwa mnapeana raha mnaridhishana lakini baada ya mwaka mnabaniana unyumba au unapewa kwa masharti huku mkishindwa kuridhishana. Shida nini hapo wakuu?

Wakuu, najua wengi wapo humu na wahanga wa hili tatizo. Je, shida ni nini?

Tunaomba mwanaume zetu mfunguke kero zenu na wanawake wenzangu mfunguke kero zenu ili 2020 tujenge familia bora.

Ndoa bila usaliti, inawezekana. Karibuni!


Sent using Jamii Forums mobile app
ni ngumu ndo maaana unaambiwa tuliza akili yako kama unataka kuoa kwaababu mwanamke huyo huyo unalala naye unaamka naye anaenda kunya unamuona yaani unamzoea kupita kiasi na hapo ndio akili ya mwanaume hupimwa long story short ukiona mwanaume katulia na mwanamke mmoja amabaye ni mke wake muheshimu huwa tunawachoka saa zingine ila ndo hivo utafanyaje ushaoa
 
Wakuu, habar za weekend.

Leo naomba kuuliza wanandoa waliopo humu, hata wale ambao bado mabaharia mnakaribishwa sna maana nyie ndo wahanga wakubwa wa hili suala. Mwanzon munakuwa na mapenzi makubwa kwa wenza wenu lakini baadaye mambo yanaharibika.

Kwanini wakati wa mwanzo wa mahusiano mnakua very romantic mpaka mnapelekea ndoa, na baada ya ndoa wengine hata mwaka hujaisha wameshaanza mipango ya kando na wanabadilika kabisaaa, mapenzi hakuna -- yaani "wanabakana" kwenye ndoa zao.

Hao hao wanandoa kila mmoja akipata mchepuko nje ana-partcipate vizuri lakini akija kwa mumewe au mkewe wanaishi kama wazee.

Hakuna mahaba, hata text tu. Huwezi kuta wanandoa wanachat mambo ya mapenzi, sana sana ni inshu muhimu tu. Hakuna hata nakupenda mpenzi, au I miss u, I love u nk, hakuna hizo vitu, zilishaishaga.

Ndo maana wanawake wanajitahid kutafuta makungwi na kujiunga kwenye magroup ya WhatsApp wanafundishwa namna na kumshika mwanaume akupende, na mwanaume nao wako bize kushinda kwenye mitandao ya kijamii kutafuta company na marafiki wa kike.

Yaan upendo umepoa kabisaa. Yale malovee hakuna kabisa kwenye ndoa zetu. Kabla hamjaoana mlikuwa mnapeana raha mnaridhishana lakini baada ya mwaka mnabaniana unyumba au unapewa kwa masharti huku mkishindwa kuridhishana. Shida nini hapo wakuu?

Wakuu, najua wengi wapo humu na wahanga wa hili tatizo. Je, shida ni nini?

Tunaomba mwanaume zetu mfunguke kero zenu na wanawake wenzangu mfunguke kero zenu ili 2020 tujenge familia bora.

Ndoa bila usaliti, inawezekana. Karibuni!


Sent using Jamii Forums mobile app
Mkishafunga ndoa kinachofuata ni kufikiria maisha ya familia, majukumu yanaongezeka wageni wanakuja kuwatembelea, maisha ya uchuma ya kupelekana maeneo ya starehe yanatoweka, kinachotokea kwa vijana wa sasa wa kike wao wanataka maisha ya wakati wa uchumba ndo yawe katika ndoa hilo haliwezekani
 
Mkishafunga ndoa...uhusiano unageuka unakuwa sawa na mtu na boss wake...mara nyingi mwanaume boss...sasa kazi ni pale mwanamke nae anapokuwa ngumu kumtii boss.
 
Ndoa nyingi ni kwa ajili tu ya *kulala na kuamka, kulea watoto na kuzeeka* pamoja mpaka kifo.



Wanandoa wengi ni mara chache sana kupeana *busu* na kukumbatiana wanapopata habari njema.



Mume humuwekea mkewe chakula *mdomoni* pale tu mke anapokuwa *mgonjwa* akawa hawezi kujilisha.



Ukimuona mwanaume *anamfungulia mlango* mkewe basi ujue mlango huo ni *mbovu* au una kasoro.



Kitu pekee kinachomfanya mwanaume wa kiafrika kuigusa *shingo* ya mkewe ni pale mke huyo anapolalamika kuwa ana *homa*. Hatoigusa tena mpaka atakapopata homa nyingine.



Muda pekee ambao *atambeba* mkewe mikononi mwake ni pale anapojifungua.



Ukiwaona *wamekaa nje* wakati wa usiku, usifikiri wanaenziana. Wanasubiri tu *harufu ya dawa* waliyopulizia ndani iishe.



Wanawake wengi wanawanunuliza *zawadi* waume zao pale tu mume anapokuwa *mgonjwa* hospitalini.




Muda pekee ambao *wanakimbia pamoja* ni pale inapotokea *hatari* na kila mtu akawa anakimbia.



Muda pekee *wanaokaa pamoja* jioni ni pale wanapotaka kwenda *kupeleka malalamiko* kwa wazazi wa mtu aliyempiga mtoto wao au aliyempa mimba binti yao.



Muda pekee *wanaokoga* pamoja ni pale wote *wanapochelewa* kwenda kazini.

Muda pekee ambao mke huyatazama kwa ukaribu *macho* ya mumewe ni pale jicho la mume linapopatwa na *uchafu*.

Kwa bahati mbaya, Waafrika wana mawazo kuwa kila mwanaume *romantic na mbembelezaji* anakuwa ametawaliwa na mke. Hapo wataanza kueneza umbea na kuzusha kua mke kampa *LIMBWATA* mumewe na si ajabu mwanaume huyo kuitwa *LOFA* au *BUSHOKE*.

*Tubadilike jaman, tujitahd kuzfanya ndoa zetu kua mpya kila uchao.........Na kwa wale tusiojaaliwa kupata bac tuwe na subira na tuyatekeleze haya mara tu baada ya kupata kilicho halali kwetu*

Sent using i phone x
 
Ndoa nyingi ni kwa ajili tu ya *kulala na kuamka, kulea watoto na kuzeeka* pamoja mpaka kifo.



Wanandoa wengi ni mara chache sana kupeana *busu* na kukumbatiana wanapopata habari njema.



Mume humuwekea mkewe chakula *mdomoni* pale tu mke anapokuwa *mgonjwa* akawa hawezi kujilisha.



Ukimuona mwanaume *anamfungulia mlango* mkewe basi ujue mlango huo ni *mbovu* au una kasoro.



Kitu pekee kinachomfanya mwanaume wa kiafrika kuigusa *shingo* ya mkewe ni pale mke huyo anapolalamika kuwa ana *homa*. Hatoigusa tena mpaka atakapopata homa nyingine.



Muda pekee ambao *atambeba* mkewe mikononi mwake ni pale anapojifungua.



Ukiwaona *wamekaa nje* wakati wa usiku, usifikiri wanaenziana. Wanasubiri tu *harufu ya dawa* waliyopulizia ndani iishe.



Wanawake wengi wanawanunuliza *zawadi* waume zao pale tu mume anapokuwa *mgonjwa* hospitalini.




Muda pekee ambao *wanakimbia pamoja* ni pale inapotokea *hatari* na kila mtu akawa anakimbia.



Muda pekee *wanaokaa pamoja* jioni ni pale wanapotaka kwenda *kupeleka malalamiko* kwa wazazi wa mtu aliyempiga mtoto wao au aliyempa mimba binti yao.



Muda pekee *wanaokoga* pamoja ni pale wote *wanapochelewa* kwenda kazini.

Muda pekee ambao mke huyatazama kwa ukaribu *macho* ya mumewe ni pale jicho la mume linapopatwa na *uchafu*.

Kwa bahati mbaya, Waafrika wana mawazo kuwa kila mwanaume *romantic na mbembelezaji* anakuwa ametawaliwa na mke. Hapo wataanza kueneza umbea na kuzusha kua mke kampa *LIMBWATA* mumewe na si ajabu mwanaume huyo kuitwa *LOFA* au *BUSHOKE*.

*Tubadilike jaman, tujitahd kuzfanya ndoa zetu kua mpya kila uchao.........Na kwa wale tusiojaaliwa kupata bac tuwe na subira na tuyatekeleze haya mara tu baada ya kupata kilicho halali kwetu*

Sent using i phone x
AMINA nimejifunza kitu aisee ngoja nijiandae kisaikolojia siku na mimi nikipata mwenza nsije zeeka mapema kisa majukumu
 
Mazoea yakizidi thanks to my babymama, 5yrs now lakini kama tumeonana jana, kila siku tunaonana wapyaaaa.

Nawapa hii mbinu wanandoa muwe walau kwa mwaka mara moja mnasafiri mnaenda mkoa au nchi nyingine kubadilisha mazingira sio January hadi December mpo tu sehemu moja, chumba kile kile, kitanda kile kile, mnachokana.
 
Kwa upande wa wanaume tunawaza kutafuta hela tu,hayo mengine hayana ulazima.
 
5 yrs mingi kumbe kwenye ndoa ushakuwa experience ushakuwa mkongwe



Nisalimie kababy boy kako mkuu culture mwambie uncle liquor kule jf anamsalimia
Mazoea yakizidi thanks to my babymama, 5yrs now lakini kama tumeonana jana, kila siku tunaonana wapyaaaa.

Nawapa hii mbinu wanandoa muwe walau kwa mwaka mara moja mnasafiri mnaenda mkoa au nchi nyingine kubadilisha mazingira sio January hadi December mpo tu sehemu moja, chumba kile kile, kitanda kile kile, mnachokana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahaba yanapungua kadri siku zinavyosogea sababu ya kuchukuliana mazoea kisa mshakuwa wanandoa mshafanya hivi na vile hata yale mahaba mazito ya mwanzo yanapungua mwisho wa siku kutafuta michepuko mwishowe ndoa kufa,

hasa wanaume ndiyo chanzo wanapenda kuchukulia mazoea anaona yeye jukumu lake kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto, kujijenga kimaisha kamaliza majukumu.
Yale mahaba ya mwanzo kama outing hamna, masikhara hamna, kubebishana hamna eti oooh tunawatoto majukumu mengi.

Kuna kaka flan hv anatembea na mke wa mtu chanzo cha kumpata huyo dada alikuwa tu anapenda kumtania tania.

Kumbe mambo madogo tu ambayo hayana gharama yanaweza kusababisha mapenzi kupungua



Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa wewe ukitaniwa taniwa tu unaachia uchi, basi wewe ujitambui, ujui thamani yako, ukisha kuwa mwanandoa basi lazima ulinde thamani ya ndoa yako, ususani kwa mwanamke, mwanamke ukitaka kushindana na mume wako kuhusu idadi ya wapenzi alionao mwanaume na wewe ukatafuta wanaume nje, ujue uyo mwanaume huo mchepuko ana act kama anakupenda lakini ukweli anakuenjoy tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sasa wewe ukitaniwa taniwa tu unaachia uchi, basi wewe ujitambui, ujui thamani yako, ukisha kuwa mwanandoa basi lazima ulinde thamani ya ndoa yako, ususani kwa mwanamke, mwanamke ukitaka kushindana na mume wako kuhusu idadi ya wapenzi alionao mwanaume na wewe ukatafuta wanaume nje, ujue uyo mwanaume huo mchepuko ana act kama anakupenda lakini ukweli anakuenjoy tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Teeeh teeeh ulivyonijibu kama ndiyo mimi vile nimeliwa kisa kutaniwa.

Mimi nimechangia kutokana na mtazamo wangu ndiyo maana michango haifanani, sikumaanisha kama mwanaume anakusaliti nawe ufanye usaliti yaani mshindane...... Hapana.

Nimeelezea tu mume kwa mke wasiishi kimazoea labda mwanaume mwanzo ulikuwa unafanya hivi kwa mkeo baada tu ya kuishi miezi kadhaa umebadilika umeanza kufanya tofauti, hivyo haipaswi.
Mm mchango wangu nimewalalamikia wanaume na wapo pia walio walalamikia wanawake kwahiyo ni mtazamo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mazoea yakizidi thanks to my babymama, 5yrs now lakini kama tumeonana jana, kila siku tunaonana wapyaaaa.
Unaweza kutufafanulia hapa?
Nawapa hii mbinu wanandoa muwe walau kwa mwaka mara moja mnasafiri mnaenda mkoa au nchi nyingine kubadilisha mazingira sio January hadi December mpo tu sehemu moja, chumba kile kile, kitanda kile kile, mnachokana.
Hii ni kweli 100%
 
Ndoa nyingi ni kwa ajili tu ya *kulala na kuamka, kulea watoto na kuzeeka* pamoja mpaka kifo.



Wanandoa wengi ni mara chache sana kupeana *busu* na kukumbatiana wanapopata habari njema.



Mume humuwekea mkewe chakula *mdomoni* pale tu mke anapokuwa *mgonjwa* akawa hawezi kujilisha.



Ukimuona mwanaume *anamfungulia mlango* mkewe basi ujue mlango huo ni *mbovu* au una kasoro.



Kitu pekee kinachomfanya mwanaume wa kiafrika kuigusa *shingo* ya mkewe ni pale mke huyo anapolalamika kuwa ana *homa*. Hatoigusa tena mpaka atakapopata homa nyingine.



Muda pekee ambao *atambeba* mkewe mikononi mwake ni pale anapojifungua.



Ukiwaona *wamekaa nje* wakati wa usiku, usifikiri wanaenziana. Wanasubiri tu *harufu ya dawa* waliyopulizia ndani iishe.



Wanawake wengi wanawanunuliza *zawadi* waume zao pale tu mume anapokuwa *mgonjwa* hospitalini.




Muda pekee ambao *wanakimbia pamoja* ni pale inapotokea *hatari* na kila mtu akawa anakimbia.



Muda pekee *wanaokaa pamoja* jioni ni pale wanapotaka kwenda *kupeleka malalamiko* kwa wazazi wa mtu aliyempiga mtoto wao au aliyempa mimba binti yao.



Muda pekee *wanaokoga* pamoja ni pale wote *wanapochelewa* kwenda kazini.

Muda pekee ambao mke huyatazama kwa ukaribu *macho* ya mumewe ni pale jicho la mume linapopatwa na *uchafu*.

Kwa bahati mbaya, Waafrika wana mawazo kuwa kila mwanaume *romantic na mbembelezaji* anakuwa ametawaliwa na mke. Hapo wataanza kueneza umbea na kuzusha kua mke kampa *LIMBWATA* mumewe na si ajabu mwanaume huyo kuitwa *LOFA* au *BUSHOKE*.

*Tubadilike jaman, tujitahd kuzfanya ndoa zetu kua mpya kila uchao.........Na kwa wale tusiojaaliwa kupata bac tuwe na subira na tuyatekeleze haya mara tu baada ya kupata kilicho halali kwetu*

Sent using i phone x

Hahahaha, Ustaadh anathibitisha haya
 

Attachments

  • VID-20191206-WA0014.mp4
    2.9 MB
Back
Top Bottom