HizMAJESTY
Senior Member
- Aug 6, 2019
- 130
- 522
Kisaikolojia, kitu chochote unachowekeza nguvu kukipata, unapokipata akili hudumaa kwa maana ya kuridhika, huwezi kuwa na nguvu ya hisia zilezile kama hapo kabla. Mfano, kama hujawahi kupanda ndege na unatamani kufanya hivyo, si ajabu siku ya kwanza utajipiga ma-selfie kibao kudhihirisha kufurahia jambo ulilotamani. Ikitokea ukawa mpanda ndege mara kwa mara utashangaa kwa nini day one ulikuwa unaji-selfie. Sio tena jambo nafsi kupigania.
Same kwenye kuoana,kila mmoja hufanya jitihada za kumwaminisha mwenza kwamba yeye ndiye bora kuliko wanaume/wake wengine. Katika kufanya hivyo uongo na uraghai ujipenyeza, kuprerend na vitu kama hivyo. Ndoa ikifungwa, kila mmoja amefanikisha hitaji lake, nafsi haioi haja ya kupretend, hakuna jambo la kupigania badala yake unatamani mambo mengine... Huo ndo mwanzo wa kuchuja romantic life yenu. Kumu-hug mwenza anaporudi toka kwenye mishe, ukampokea kwa mahaba huoni sababu! Uchokozi wa kimahaba unapotea mdogo mdogo... Mara sasa mnaanza kuishi na ndugu, wakwe, babies mara kajisaidia mara analia mara anatambaa kuelekea kwenye jiko! Focus ya romance inaisha. Lakini kwa wanaume majukumu yanapofyonza kipato chako na kuanza kuhisi mkeo hajui ku-manage pesa, romance hupotea.
Sasa katika yote hayo, ishu ya mchepuko ikiingilia kati ndo basi kabisa, kwa kuwa ukweli ni kwamba mchepuko is sweet, maana yeye haitatokea kumilikiana, mtaendelea kuhitajiana kisaikolojia mkijaribu kuwa-prove wrong wenza halali... Utamu utamuni.
Anyway, marriage is an art. Lazima awepo mwenye ubunifu kati yenu ili mambo yaende kama mlivyokusudia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Same kwenye kuoana,kila mmoja hufanya jitihada za kumwaminisha mwenza kwamba yeye ndiye bora kuliko wanaume/wake wengine. Katika kufanya hivyo uongo na uraghai ujipenyeza, kuprerend na vitu kama hivyo. Ndoa ikifungwa, kila mmoja amefanikisha hitaji lake, nafsi haioi haja ya kupretend, hakuna jambo la kupigania badala yake unatamani mambo mengine... Huo ndo mwanzo wa kuchuja romantic life yenu. Kumu-hug mwenza anaporudi toka kwenye mishe, ukampokea kwa mahaba huoni sababu! Uchokozi wa kimahaba unapotea mdogo mdogo... Mara sasa mnaanza kuishi na ndugu, wakwe, babies mara kajisaidia mara analia mara anatambaa kuelekea kwenye jiko! Focus ya romance inaisha. Lakini kwa wanaume majukumu yanapofyonza kipato chako na kuanza kuhisi mkeo hajui ku-manage pesa, romance hupotea.
Sasa katika yote hayo, ishu ya mchepuko ikiingilia kati ndo basi kabisa, kwa kuwa ukweli ni kwamba mchepuko is sweet, maana yeye haitatokea kumilikiana, mtaendelea kuhitajiana kisaikolojia mkijaribu kuwa-prove wrong wenza halali... Utamu utamuni.
Anyway, marriage is an art. Lazima awepo mwenye ubunifu kati yenu ili mambo yaende kama mlivyokusudia.
Sent using Jamii Forums mobile app