Kwanini wanandoa wengi hawapo "romantic"?

Kwanini wanandoa wengi hawapo "romantic"?

Ndoa ni mchakato kama michakato mingine, kila siku lazima uje na new trick, asa Mama kamzoesha mumewe akirudi lazima aoge, ale ndipo wabanjuane, siku nyingine banjuaneni kwanza, kuleni alafu muoge, siku nyingine muoge, mbanjuane alafu kuleni.

Wanandoa wasizoeane mke lazima amuone mumewe mpya kila siku hali kadharika mume pia kwa mkewe.

COMMENT TAYARI
 
Mahaba yanapungua kadri siku zinavyosogea sababu ya kuchukuliana mazoea kisa mshakuwa wanandoa mshafanya hivi na vile hata yale mahaba mazito ya mwanzo yanapungua mwisho wa siku kutafuta michepuko mwishowe ndoa kufa,

hasa wanaume ndiyo chanzo wanapenda kuchukulia mazoea anaona yeye jukumu lake kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto, kujijenga kimaisha kamaliza majukumu.
Yale mahaba ya mwanzo kama outing hamna, masikhara hamna, kubebishana hamna eti oooh tunawatoto majukumu mengi.

Kuna kaka flan hv anatembea na mke wa mtu chanzo cha kumpata huyo dada alikuwa tu anapenda kumtania tania.

Kumbe mambo madogo tu ambayo hayana gharama yanaweza kusababisha mapenzi kupungua



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naunga mkono, naona mazoea pia yaan kumuona mwenzio wa kawaidaaa
Ndoa ni mchakato kama michakato mingine, kila siku lazima uje na new trick, asa Mama kamzoesha mumewe akirudi lazima aoge, ale ndipo wabanjuane, siku nyingine banjuaneni kwanza, kuleni alafu muoge, siku nyingine muoge, mbanjuane alafu kuleni.

Wanandoa wasizoeane mke lazima amuone mumewe mpya kila siku hali kadharika mume pia kwa mkewe.

COMMENT TAYARI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo kuzoeana na wanawake wengi kuolewa na waume wasiowapenda yaan ke anamkubali me kwasababu umli umekwenda anamkubali yyote kuficha aibu akisha kaa ndoani anashindwa kuvumilia changamoto za ndoa ambako hupelekea kuchona then no more love.
 
Mimi nadhani wengi wetu hufunga ndoa bila kuwa na uhakika kuwa huyu ndie nimpendae kupita wote.
na baadae kuanza kutizama pembeni,
Cha pili ni...
Kupenda vitu vya kidunia kwa mwenza wako na sio akili na mwili wake.
Mfano mali au umaharufu zikiisha unaanza kumuona mbaya.
Cell za miili yetu hufa kila siku na kuzaliwa nyingine mpya. Hata cell za ubongo ambao ndio hufanya maamuzi hufa kila siku na kuzaliwa nyingine. Kwa hiyo si ajabu ulichoona kizuri sana jana, leo ukaona kumbe hakifai na ukapenda kingine sababu hata ubongo wenyewe umebadilika.

Wala tusijilaumu ikitokea ukamuoma mwenzi wako sio romantic tena. It's quite natural.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina swali kwa mwanaume?
Kwann mwanaume wakishaoa wanashindwa kuhimili game kama mwanzo, nguvu zinawaisha au Hanna mzuka ndan mwaishia kimoja nje kwa mchepuko mnasimamia vidole

Shida nn hapo naomba majibu wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna mapungufu ya kijinsia ambayo tusipoyatazama kwa jicho la karibu ni shida.

Mwanaume akioa anaamini kamaliza hana haja tena ya kumu impress mwanamke ,mwanamke akipata mtoto anaamini mume sasa sio muhimu,mwanamke akiona hapewi care anaanza visa vya kijinga,mwanaume anawaza kuhudumia familia kuhusu macho mazuri ya mkeo,mwanaume anamuangalia mkewe alivyo busy na mtoto na alivyorafu rafu na kazi mzuka wa mapenzi unakata,mwanamke analianzisha mwenyewe la kujali mtoto kuliko mume mpaka akijakustuka mume keshakata tamaa ya kumtamani mkewe.

Assumptions zinanäanza labda hanitamani sababu nimechoka sina mvuto wa awali,remember relationship yeyote ambayo ni yakimapenzi then mwanaume hapati sex hiyo ni adhabu tu kwamwanaume its matter of time,mchawi atapatikana...



kifupi ni mlundikano mambo mengi ambayo kimsingi hatuna ufahamu nayo hivyo yakitokea tunaweka assumptions ambazo mwisho wasiku ndio zinaharibu kila kitu...

imagine watu wawili wanapendana sana leo na kesho kila mtu njia yake!!!!how come

kwangu mimi naamini,mambo yote yanayofanya mwanaume achukie kufanya mapenzi namkewe ni hatari kwa ndoa hasa kama hizo sababu zinatoka kwa mkewe weather ni dharau z mke,maudhi,uchafu,ubusy na etc

na mambo yote yanayofanya mwanamke a doubt thamani yake,upendo wa mume,uzuri wake mbele ya mwanaume hao ni hatari sana ..

so ni mchezo wa kubalance mambo,kikubwa mlikuwa mnapenda kweli kabla ya ndoa maana kuna mtu kaolewa na malaya na anajua ila kwenye ndoa anataka abadilike,kwa mbinu hiz hiz umbadilishe mtu mwenye umalaya wa kurithi ni ngumu..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana sababu zako zikawa 1% ila sababu kubwa ni wanaume kushindwa kuwaelewa wanawake. Women are very complicated beings. Hasa akishika mimba mpaka kujifungua wanawake wengi huugua ugonjwa wa kichaa cha mimba. Hata baada ya kujifungua wengi ile hali huendelea na wanaume huona wanawake wanajifanya. Iwapo wanaume wangefahamu basi wangeishi na wake zao kulingana na hizo hali na baadaye hurudia ile hali ya kawaida.
Nakuunga mkono! Kweli inauma unapoanza kubembeleza k wakati mchepuko unakubembeleza uje uile k kiroho safi.
 
wanawake uchangia kupunguza romantic, mke amenuna tu kwa jambo dogo tena kalisababisha mwenyewe.

unajaribu kupata ufumbuzi unaoneshwa dharau, aaah. hapo unaweka nguvu kuhudumia watoto na kufurahi na watoto

Hasara Umfika Mwenye Mabezo
 
Mahaba yanapungua kadri siku zinavyosogea sababu ya kuchukuliana mazoea kisa mshakuwa wanandoa mshafanya hivi na vile hata yale mahaba mazito ya mwanzo yanapungua mwisho wa siku kutafuta michepuko mwishowe ndoa kufa,

hasa wanaume ndiyo chanzo wanapenda kuchukulia mazoea anaona yeye jukumu lake kutafuta pesa, kulisha familia, kusomesha watoto, kujijenga kimaisha kamaliza majukumu.
Yale mahaba ya mwanzo kama outing hamna, masikhara hamna, kubebishana hamna eti oooh tunawatoto majukumu mengi.

Kuna kaka flan hv anatembea na mke wa mtu chanzo cha kumpata huyo dada alikuwa tu anapenda kumtania tania.

Kumbe mambo madogo tu ambayo hayana gharama yanaweza kusababisha mapenzi kupungua



Sent using Jamii Forums mobile app
Ila mapenzi ya wizi yanakuwaga matamu sijui kwann! Mtu anaweza kuwa anaiba mke wa mtu, na wakainyoi sana.... Ila siku mwenye mke akamkuta akaamua kumuachia aendelee nae kwa uhuru hilo penzi halitakuwa tamu tena kama mwanzo.... Wataanza kuonana kero ghafla....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm nikioa mke wangu aninyime vyote ila sio papuchi, narudi tena papuchi..

Hiyo ndio weakness yangu..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
ndoa imebakia pambo tu. mtu mmoja ana kumbukumbu na namba za maEX zaidi 20. presha za bure unajipa kumridhisha mtu asiye tayari kuridhika
 
Nina swali kwa mwanaume?
Kwann mwanaume wakishaoa wanashindwa kuhimili game kama mwanzo, nguvu zinawaisha au Hanna mzuka ndan mwaishia kimoja nje kwa mchepuko mnasimamia vidole

Shida nn hapo naomba majibu wanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni the same question na uzi huu.
Kwanza jarbu kujiuliza mwanaume wako anapenda nn?,
wafaa na wew kupenda hicho hicho,
Leta mlejesho ni kitu gani ambacho mwenza wako anakipenda lakin wew umeshindwa kabisa kukipenda.
 
mi katbu naandka hoja
Wakuu habar za w,keend
Leo naomba kuuliza wanandoa waliopo humu, hata wale ambao bado mabaharia mnakalibishwa sna maana nyie ndo wahanga wakubwa wa hili swala mwanzon mnakua na mapenzi makubwa kwa wenza wenu lakin baadae mambo yanaharibika,

Kwann wakati wa mwanzo wa mahusiano mnakua very romantic mpaka mnapelekea ndoa na baada ya ndoa wengine hata mwaka hujaisha wameshaanza mipango ya kando na wanabadilika kabisaaa mapenz hakuna yaan (WANABAKANA) kwenye ndoa zao, hao hao wanandoa kila mmoja akipata mchepuko nje, anapartcipatate vzr lakin akija kwa mumewe au mkewe wanaishi kama wazee,

Hakuna mahaba hata text tu, huwezi kuta wanandoa wanachat mambo ya mapenz sana sana ni inshu muhimu tu, hakuna hata nakupenda mpz, au miss u, love u nk, hakuna hizo zitu zilishaishaga

Ndo maana wanawake wanajitahid kutafuta makungwi na kujiunga kwenye magroup ya wasap wanafundishwa namna na kumshika mwanaume akupende, na mwanaume nao wako bize kushinda kwenye mitandao ya kijamii kutafuta company na marafik wa kike.

Yaana upendo umepoa kabisaa Yale malovee hakuna kabisa kwenye ndoa zetu, kabla hamjaoana mlikua mnapeana raha mnaridhishana lakin baada ya mwaka mnabaniana unyumba au unapewa kwa mashart huku mkishindwa kuridhishana shida nn hapo wakuu...

Wakuu najua wengi wapo humu na wahanga wa hili tatizo je shida ni nn, tunaomba mwanaume zetu mfunguke kero zenu na wanawake wenzangu mfunguke Kero zenu ili 2020 tujenge familia bora,

Ndoa bila usaliti, inawezekana. Karibuni


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habar za w,keend
Leo naomba kuuliza wanandoa waliopo humu, hata wale ambao bado mabaharia mnakalibishwa sna maana nyie ndo wahanga wakubwa wa hili swala mwanzon mnakua na mapenzi makubwa kwa wenza wenu lakin baadae mambo yanaharibika,

Kwann wakati wa mwanzo wa mahusiano mnakua very romantic mpaka mnapelekea ndoa na baada ya ndoa wengine hata mwaka hujaisha wameshaanza mipango ya kando na wanabadilika kabisaaa mapenz hakuna yaan (WANABAKANA) kwenye ndoa zao, hao hao wanandoa kila mmoja akipata mchepuko nje, anapartcipatate vzr lakin akija kwa mumewe au mkewe wanaishi kama wazee,

Hakuna mahaba hata text tu, huwezi kuta wanandoa wanachat mambo ya mapenz sana sana ni inshu muhimu tu, hakuna hata nakupenda mpz, au miss u, love u nk, hakuna hizo zitu zilishaishaga

Ndo maana wanawake wanajitahid kutafuta makungwi na kujiunga kwenye magroup ya wasap wanafundishwa namna na kumshika mwanaume akupende, na mwanaume nao wako bize kushinda kwenye mitandao ya kijamii kutafuta company na marafik wa kike.

Yaana upendo umepoa kabisaa Yale malovee hakuna kabisa kwenye ndoa zetu, kabla hamjaoana mlikua mnapeana raha mnaridhishana lakin baada ya mwaka mnabaniana unyumba au unapewa kwa mashart huku mkishindwa kuridhishana shida nn hapo wakuu...

Wakuu najua wengi wapo humu na wahanga wa hili tatizo je shida ni nn, tunaomba mwanaume zetu mfunguke kero zenu na wanawake wenzangu mfunguke Kero zenu ili 2020 tujenge familia bora,

Ndoa bila usaliti, inawezekana. Karibuni


Sent using Jamii Forums mobile app
Practical guidelines to evaluate a potential wife
Angalia sifa zifuatazo wakati unachagua mke mtarajiwa
Nitaeleza kwa kifupi kama ifuatavyo...
Kumbuka herufi hizi...
A B C D E F

Age=Of about your age
Gape lisizidi miaka 10...
B=Beauty anayekuvutia
C=Character Tabia unazozikubali
D=Dignity anayejiheshimu
E=Education .....of about the same level of education.
F= Family ....Of about the same level of family status

Baada ya ku evaluate hizo sifa on a piece of paper ....l insist uwe very honest!!..mkweli na nafsi yako....
Mpe maksi....mfano labda umempa maksi 65%....sasa angalia udhaifu wake uko wapi?? Wapi amepoteza maksi 35??
Kumbuka huwezi kumpata mwanamke ambaye utampa 100%
Utakuwa unajidanganya.......
MASWALI mawili ya kujiuliza
1.Je nitaweza Kuishi na madhaifu yake??
2.Kama siwezi nitayarekebishaje??

NB: kama hayarekebishiki na huwezi kuishi na madhaifu yake...achana naye!!!!! Tafuta mwingine......WAKE WA KUOA WENYE SIFA WAPO...
Nakaribisha MASWALI.. .nitajibu kadri ya uwezo wangu.....lengo ni kuwasaidia wale walio ktk hatua ya kutafuta wake watakao dumu ktk ndoa zao....
 
aixeh
Mimi nadhani wengi wetu hufunga ndoa bila kuwa na uhakika kuwa huyu ndie nimpendae kupita wote.
na baadae kuanza kutizama pembeni,
Cha pili ni...
Kupenda vitu vya kidunia kwa mwenza wako na sio akili na mwili wake.
Mfano mali au umaharufu zikiisha unaanza kumuona mbaya.
 
Back
Top Bottom