Kwanini wanandoa wakifumaniwa mwanamke hapigwi?

kwa nini asipigwe mwanamke? hivi unajua wanawake wana mitego sana, au unataka unidanganye na hapa niyafate maneno yako?

mimi nimetongozwa jamani, na anakwambia hana mwanamke mwingine,unipigie nini sasa?
 
Ni kwa sababu asilimia 90 ya fumanizi huwa yanapangwa.....yaani unakuta Mwanamke keshagundulika na Mmewe au jamaa yake, hivyo anashinikizwa kuandaa fumanizi.....kwa hiyo wanaokwenda pale mlengwa wao anakuwa ni mmoja tu, yule mwanaume....huwa sio rahisi kihivyo kufumania wazinzi.

Mwanamke yeye adhabu yake inakuwa kule nyumbani.
 
Ni ufinyu wa akili kupanga kabisa kuwa unaenda kufumania. Siko kwenye taasisi ya ndoa hivo sisemi sana............. ila iwapo ningekuwa kwenye ndoa whether mume wangu angekuwa anazini na kuwa na nyumba ndogo hata 20 hata siku moja nisingepanga kwenda kumfumania ati hotelini au guest au kwenye gari au kazini.

Sana sana ningekuwa busy kujifunza lugha mbali mbali za dunia hii mfano kireno, kispaniola, ki Italy, kifaransa, pia ningekuwa busy zaidi kujifunza lugha za makabila zaidi ya 30 ya Tanzania mfano kingoni, kiha, kisandawe, kimasai, kimakonde, kihaya. ... yaani ningekuwa boonge ya linguistic halafu hayo mawazo ya kufumania mume yangetoka wapi......

Hahahahahhaa crazy Kasie ndo maana sikupangiwa kuingia kwenye hiyo taasisi ya kufumaniana maana wangesema nimewehuka kwa jinsi ambavyo ninge behave.

Kasie.
ogopa mdudu wivu wewe kasie

snowden
 
For am not in a marriage. .. linguistic is not my option... being single I love dancing...
nazani ungemwambia mzee apumzike halafu niingie mimi damu changa maana kaharage kako kanawasha sio siri nasisi wakunaji tupo
 
nikumbushe huo mstari wa biblia mkuu

Yesu aliwaambia wale jamaa waliokuwa wanataka kumpiga mawe yule mwanamke aliyefuniwa mpaka afe na asiye na dhambi na awe wa kwanza kurusha jiwe then jamaa wakamwacha. Soma Injili ya Yohana sura ya 8, aya ya 1 mpaka ya 11.
 
Back
Top Bottom