Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
Kua uyaone
Hayajakukuta bado. Ukichanikiwa ndio utajua kushonaNi ufinyu wa akili kupanga kabisa kuwa unaenda kufumania. Siko kwenye taasisi ya ndoa hivo sisemi sana............. ila iwapo ningekuwa kwenye ndoa whether mume wangu angekuwa anazini na kuwa na nyumba ndogo hata 20 hata siku moja nisingepanga kwenda kumfumania ati hotelini au guest au kwenye gari au kazini.
Sana sana ningekuwa busy kujifunza lugha mbali mbali za dunia hii mfano kireno, kispaniola, ki Italy, kifaransa, pia ningekuwa busy zaidi kujifunza lugha za makabila zaidi ya 30 ya Tanzania mfano kingoni, kiha, kisandawe, kimasai, kimakonde, kihaya. ... yaani ningekuwa boonge ya linguistic halafu hayo mawazo ya kufumania mume yangetoka wapi......
Hahahahahhaa crazy Kasie ndo maana sikupangiwa kuingia kwenye hiyo taasisi ya kufumaniana maana wangesema nimewehuka kwa jinsi ambavyo ninge behave.
Kasie.
Tushukuru Mungu. Huyo safi sana.Me mke wangu akiwa anakuja kazini anakuwa na semosi ya maji moto ili akimkuta mchepuko amuogeshe wenzangu wanajua naletewa chai kumbe maji moto hayana ht majani
hiyo avatar ni picha yako?
Hayajakukuta bado. Ukichanikiwa ndio utajua kushona
mda alionipotezea na mimi lazima nimueke alama ili ata akiolewa na mume mwingine ayakumbuke niliyomfayia
ndio hata kama naharibu ils ns mimi nimuumize aumie kama alivyoniumiza mimi. i ninamuacha naona mwanamke mwingineHujengi. Unaharibu.
nitaufuta tuuUo ni utamaduni
kwa nini asipigwe nae si katenda kosa? mkuu na wasiwasi na uelewa wa ubongo wako. kwa hiyo hata binti yako akitenda makosa hutamchapa kisa nimwanamke?Kwasababu only a coward would beat a woman.
Mwanamke hapigwi... Iwe kafumaniwa au hajafumaniwa
na wewe unafanya nini huku boya weweAcheni uboya fanyen kazi kila siku mapenz
ki vipi sasa wakati na wewe ni mwanamke? au wewe ni msagaji una mwanamke mwenzio umemfanya mkeOUT OF TOPIC. ....
The answer is..... YA MKE WANGU.
MashuduNi ufinyu wa akili kupanga kabisa kuwa unaenda kufumania. Siko kwenye taasisi ya ndoa hivo sisemi sana............. ila iwapo ningekuwa kwenye ndoa whether mume wangu angekuwa anazini na kuwa na nyumba ndogo hata 20 hata siku moja nisingepanga kwenda kumfumania ati hotelini au guest au kwenye gari au kazini.
Sana sana ningekuwa busy kujifunza lugha mbali mbali za dunia hii mfano kireno, kispaniola, ki Italy, kifaransa, pia ningekuwa busy zaidi kujifunza lugha za makabila zaidi ya 30 ya Tanzania mfano kingoni, kiha, kisandawe, kimasai, kimakonde, kihaya. ... yaani ningekuwa boonge ya linguistic halafu hayo mawazo ya kufumania mume yangetoka wapi......
Hahahahahhaa crazy Kasie ndo maana sikupangiwa kuingia kwenye hiyo taasisi ya kufumaniana maana wangesema nimewehuka kwa jinsi ambavyo ninge behave.
Kasie.
hapo kwenye bold mkuu sijakuelewaUkitaka mwanamke aliyefumaniwa apate kichapo, afumaniwe na mwenye mme, yaani mke ndo awafume, wanakulaga kichapo kizuri tu! Mwanaume unashughulika na mwanaume hadharani kisha baadae in private unashughulika na mwanamke.
we kweli mjinga ila kama nakosea nisamehe. na wewe hujawahi kupigwa au kuona mwanaume anashushiwa kisago na mwanamke. ila mimi sijapigwa tafadhalKwasababu only a coward would beat a woman.
Mwanamke hapigwi... Iwe kafumaniwa au hajafumaniwa
sasa huo uchungu ndo utanifanya huyo mpe nimuingize kwenye jeneza kabisaTushukuru Mungu. Huyo safi sana.
Kwenye mada...
Nadhani umeuchukulia poa msemo wa "utakula kwa jasho" tafakari.
Wanaosema watadili na mwanamke wanajidanganya. Uchungu wa mke sio wa king'asti unajua. Hii sekta nyingine. Unawekeza maisha kwa mtu halafu anagawa tu kiroho safi. Yataka moyo!