Polisi jamii
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 2,604
- 1,379
wanawake walioko kwenye ndoa hawasemagi kama wameolewa
labda kama ni kweli na nitajua ukweli baada ya kukuadhibi ipasavyo
nina hasira kali huwa siwezi kuvumilia ila nikivumilia ujue nimeweka kinyongo maana mimi sio mtu mzurihahahahahahahaha uwiiii kujua ukweli baada ya kipondo jamani, si bora ufanye chunguzi kabla ya adhabu
umejuaje mkuu?wanawake walioko kwenye ndoa hawasemagi kama wameolewa
wanawake walioko kwenye ndoa hawasemagi kama wameolewa
sawa mkuu haya maneno ninayakumbuka, kwa hiyo na wewe umepata/umejihakikishia sehemu ya kujitetea sio ili uwamege wake wa watu kisawasawa sio?Yesu aliwaambia wale jamaa waliokuwa wanataka kumpiga mawe yule mwanamke aliyefuniwa mpaka afe na asiye na dhambi na awe wa kwanza kurusha jiwe then jamaa wakamwacha. Soma Injili ya Yohana sura ya 8, aya ya 1 mpaka ya 11.
yea ndo ule msemo wangu unatimia kwamba men cheat women cheat toobasi kuna tatizo kubwa kwenye hizo ndoa coz wanaume hawasemi na wanawake hawasemi
hahahahahahaha ngoma drooo
Mfano mke/mume wa mtu kufumaniwa wakati wana ndoa zaoumejuaje mkuu?
ila sababu kuu yakuchepuka wapenzi ni 1basi kuna tatizo kubwa kwenye hizo ndoa coz wanaume hawasemi na wanawake hawasemi
hahahahahahaha ngoma drooo
nitayafanyia kazi mawazo yako mkuuMfano mke/mume wa mtu kufumaniwa wakati wana ndoa zao
sawaOUT OF TOPIC.
sawa mkuu haya maneno ninayakumbuka, kwa hiyo na wewe umepata/umejihakikishia sehemu ya kujitetea sio ili uwamege wake wa watu kisawasawa sio?
pamoja mkuuHapana! Maana yangu ni kwamba kasumba hii ni ya siku nyingi sana mpaka kwenye vitabu imesemwa.
SMARTNi ufinyu wa akili kupanga kabisa kuwa unaenda kufumania. Siko kwenye taasisi ya ndoa hivo sisemi sana............. ila iwapo ningekuwa kwenye ndoa whether mume wangu angekuwa anazini na kuwa na nyumba ndogo hata 20 hata siku moja nisingepanga kwenda kumfumania ati hotelini au guest au kwenye gari au kazini.
Sana sana ningekuwa busy kujifunza lugha mbali mbali za dunia hii mfano kireno, kispaniola, ki Italy, kifaransa, pia ningekuwa busy zaidi kujifunza lugha za makabila zaidi ya 30 ya Tanzania mfano kingoni, kiha, kisandawe, kimasai, kimakonde, kihaya. ... yaani ningekuwa boonge ya linguistic halafu hayo mawazo ya kufumania mume yangetoka wapi......
Hahahahahhaa crazy Kasie ndo maana sikupangiwa kuingia kwenye hiyo taasisi ya kufumaniana maana wangesema nimewehuka kwa jinsi ambavyo ninge behave.
Kasie.
HahahhahaaaaMe mke wangu akiwa anakuja kazini anakuwa na semosi ya maji moto ili akimkuta mchepuko amuogeshe wenzangu wanajua naletewa chai kumbe maji moto hayana ht majani
kwa nini asipigwe nae si katenda kosa? mkuu na wasiwasi na uelewa wa ubongo wako. kwa hiyo hata binti yako akitenda makosa hutamchapa kisa nimwanamke?
mbona wewe unapigwa hapo kwenye fumanizi?Binti yangu na mtoto wangu! Mke hapigwi ... Zipo adhabu lakini sio kipigo.. Pwani sisi kama kupiga basi na kipande cha kanga wamrushia..
Utampigaje mtu mzima mwenzio?