Kwanini wananchi waTanganyika hasa mitandaoni wanawaona JWTZ kama WASALITI?

Kwanini wananchi waTanganyika hasa mitandaoni wanawaona JWTZ kama WASALITI?

Joined
May 23, 2022
Posts
92
Reaction score
339
Utaona hilo kwenye comments walizotoa kwenye picha zilizopostiwa jana wakati rais Samia anazungumza na wakuu wa Kamandi na viongozi wengine wa jeshi. Why?

Je, wananchi wamepoteza imani na jeshi lao lililokuwa tegemeo kwenye maandamano ya Mo29 au D9?
 
Utaona hilo kwenye comments walizotoa kwenye picha zilizopostiwa jana wakati rais Samia anazungumza na wakuu wa Kamandi na viongozi wengine wa jeshi. Why?

Je, wananchi wamepoteza imani na jeshi lao lililokuwa tegemeo kwenye maandamano ya Mo29 au D9?
Wanaungana na adui kuwaangamiza watanganyika! Usaliti mkubwa!
 
Hata Nyumbani Baba ndiye mwenye mamlaka akiiacha familia ikisambaratika yeye akawa anagonga glass za mvinyo na madada poa watoto wataacha kumwona mzee msaliti?
 
Back
Top Bottom