Kwanini Wananchi walimkataa na watamkataa Slaa

Kwanini Wananchi walimkataa na watamkataa Slaa

Mwl Nyerere alisema katika moja ya hotuba sake maarufu kuwa mgombea wa ccm laxm achujwe kwan akishatangazwa huenda umemtangaza raisi.

Slaa wananchi watanganyika nazanbibar walimkataa na bado kama UKAWA watajichanganya basi CCM itapita km kupita bila kupingwa.

Slaa 2010 alidaiwa kuwa na mafungamano mazito na waajiri wake wa mwanzo jambo ambalo lilisaidia kutoka kwa waraka kwa waamini namna ya kupata viongozi wao. hill bado lipo na ndio maana CHADEMA imepigwa Zanziba, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Tabora nk.

Slaa ni kiongozi Mwenye jazba intolerant na hawezi kucompromise. ukisikiliza speech zake anaamini akishika madaraka karb nusu ya watu atawafunga. anawatuhumu marais wastaafu mawaziri, polisi,jeshi,usalama wa taifa, majaji sasa km utafukuza polisi, usalama wa taifa,utafunga viongozi wastaafu hueezi baki salama mfano mzuri ni misri . raid Mandela angekuwa km Slaa Leo dunia isingemkumbuka kwani alisamehe na kuridhiana.

Slaa ni MTU asiependa kupingwa wala kukosolewa na mfano mzuri ni suala LA zito. namna Kikwete anavyokosolewa lakini anavumilia ingekuwa padri slaa wengi wangekua magerezani. kiongozi gani anapenda tu kusikia akisifiwa tu basi.ukileta hoja ya udhaifu wake unakuwa labelled msaliti na unafukuzwa.

Slaa hawezi kuongoza nchi hoi labda mtaa wa Ufipa.
cc UKAWA
cc Mbatia
cc prof Lipumba
cc Makaidi

argue don't shout!!!!!

Huyo ndio chaguo la watanzania, kamuulize baba ritzmoko
 
Mwl Nyerere alisema katika moja ya hotuba sake maarufu kuwa mgombea wa ccm laxm achujwe kwan akishatangazwa huenda umemtangaza raisi.

Slaa wananchi watanganyika nazanbibar walimkataa na bado kama UKAWA watajichanganya basi CCM itapita km kupita bila kupingwa.

Slaa 2010 alidaiwa kuwa na mafungamano mazito na waajiri wake wa mwanzo jambo ambalo lilisaidia kutoka kwa waraka kwa waamini namna ya kupata viongozi wao. hill bado lipo na ndio maana CHADEMA imepigwa Zanziba, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Tabora nk.

Slaa ni kiongozi Mwenye jazba intolerant na hawezi kucompromise. ukisikiliza speech zake anaamini akishika madaraka karb nusu ya watu atawafunga. anawatuhumu marais wastaafu mawaziri, polisi,jeshi,usalama wa taifa, majaji sasa km utafukuza polisi, usalama wa taifa,utafunga viongozi wastaafu hueezi baki salama mfano mzuri ni misri . raid Mandela angekuwa km Slaa Leo dunia isingemkumbuka kwani alisamehe na kuridhiana.

Slaa ni MTU asiependa kupingwa wala kukosolewa na mfano mzuri ni suala LA zito. namna Kikwete anavyokosolewa lakini anavumilia ingekuwa padri slaa wengi wangekua magerezani. kiongozi gani anapenda tu kusikia akisifiwa tu basi.ukileta hoja ya udhaifu wake unakuwa labelled msaliti na unafukuzwa.

Slaa hawezi kuongoza nchi hoi labda mtaa wa Ufipa.
cc UKAWA
cc Mbatia
cc prof Lipumba
cc Makaidi

argue don't shout!!!!!

Umelipwa kiasi gani kuandika huu utumbo? Ni afadhali kuwa maskini wa mali kuliko maskini wa akili.
 
Kwa Hiyo Ulitaka CDM Wampitishe Sheikh Mtopea?Bado Una Tabia Za Assad Wa Syria!Pole Kwa Maumivu
 
Mwl Nyerere alisema katika moja ya hotuba sake maarufu kuwa mgombea wa ccm laxm achujwe kwan akishatangazwa huenda umemtangaza raisi.

Slaa wananchi watanganyika nazanbibar walimkataa na bado kama UKAWA watajichanganya basi CCM itapita km kupita bila kupingwa.

Slaa 2010 alidaiwa kuwa na mafungamano mazito na waajiri wake wa mwanzo jambo ambalo lilisaidia kutoka kwa waraka kwa waamini namna ya kupata viongozi wao. hill bado lipo na ndio maana CHADEMA imepigwa Zanziba, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Tabora nk.

Slaa ni kiongozi Mwenye jazba intolerant na hawezi kucompromise. ukisikiliza speech zake anaamini akishika madaraka karb nusu ya watu atawafunga. anawatuhumu marais wastaafu mawaziri, polisi,jeshi,usalama wa taifa, majaji sasa km utafukuza polisi, usalama wa taifa,utafunga viongozi wastaafu hueezi baki salama mfano mzuri ni misri . raid Mandela angekuwa km Slaa Leo dunia isingemkumbuka kwani alisamehe na kuridhiana.

Slaa ni MTU asiependa kupingwa wala kukosolewa na mfano mzuri ni suala LA zito. namna Kikwete anavyokosolewa lakini anavumilia ingekuwa padri slaa wengi wangekua magerezani. kiongozi gani anapenda tu kusikia akisifiwa tu basi.ukileta hoja ya udhaifu wake unakuwa labelled msaliti na unafukuzwa.

Slaa hawezi kuongoza nchi hoi labda mtaa wa Ufipa.
cc UKAWA
cc Mbatia
cc prof Lipumba
cc Makaidi

argue don't shout!!!!!

Hiyo ndiyo propaganda mliyojifunza uchina, Korea au Afganistan? Ndiyo hiyo ya Oooh "tumepata asilimia 80 katika chaguzi za serikali za mitaa" wakati watanzania si wajinga kama mlivyo, wamejionea wenyewe tokea Ruvuma hadi Bukoba, Mara, hadi Kilimanjaro hakuna kijiji ambacho CCM hamjaandika maumivu!
Sasa kama wananchi hawatamchagua si ndiyo afadhali zaidi kwenu? Waacheni wamteue ili mpate ushindi kiulaini? Sasa mnahunyahunya nini? Mnaugua maruhani? Huyo Kikwete wenu alishinda? Hamkumwona ile siku ya kutangazwa "ameshinda" alivyokuwa akitetemeka?
Ukweli utabaki ukweli; mliiba kura, mshindi halisi alikuwa Slaa ambaye leo mnamgwaya maana hakuna mtu wa kumatch naye ndani ya chama chenu cha wezi, wavuta bangi, walaghai, majambazi, wahaini, mafisadi na manyang'au wakubwa. Haya kakojoe ulale.
 
Mwl Nyerere alisema katika moja ya hotuba sake maarufu kuwa mgombea wa ccm laxm achujwe kwan akishatangazwa huenda umemtangaza raisi.

Slaa wananchi watanganyika nazanbibar walimkataa na bado kama UKAWA watajichanganya basi CCM itapita km kupita bila kupingwa.

Slaa 2010 alidaiwa kuwa na mafungamano mazito na waajiri wake wa mwanzo jambo ambalo lilisaidia kutoka kwa waraka kwa waamini namna ya kupata viongozi wao. hill bado lipo na ndio maana CHADEMA imepigwa Zanziba, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Tabora nk.

Slaa ni kiongozi Mwenye jazba intolerant na hawezi kucompromise. ukisikiliza speech zake anaamini akishika madaraka karb nusu ya watu atawafunga. anawatuhumu marais wastaafu mawaziri, polisi,jeshi,usalama wa taifa, majaji sasa km utafukuza polisi, usalama wa taifa,utafunga viongozi wastaafu hueezi baki salama mfano mzuri ni misri . raid Mandela angekuwa km Slaa Leo dunia isingemkumbuka kwani alisamehe na kuridhiana.

Slaa ni MTU asiependa kupingwa wala kukosolewa na mfano mzuri ni suala LA zito. namna Kikwete anavyokosolewa lakini anavumilia ingekuwa padri slaa wengi wangekua magerezani. kiongozi gani anapenda tu kusikia akisifiwa tu basi.ukileta hoja ya udhaifu wake unakuwa labelled msaliti na unafukuzwa.

Slaa hawezi kuongoza nchi hoi labda mtaa wa Ufipa.
cc UKAWA
cc Mbatia
cc prof Lipumba
cc Makaidi

argue don't shout!!!!!

wewe ni gamba et?
 
Upo ushahidi wa kutosha kwamba mwaka 2010 Dr Slaa alishinda Uraisi akachakachuliwa. Kuna uhakika 100% mwaka huu Dr Slaa atashinda uraisi maana CCM hakuna mtu wa kupambana naye kama yupo atajwe tumjue. Kwa hiyo ni ukweli usiopingika kwamba Dr Slaa anakubalika nchi nzima.
 
binafsi chadema haitochkua kura yangu mpk nafa km ccm ntawachoka bora nisipige kuliko hao jamaa
 
kuchukua nchi sio mchezo hlf ukizingatia ushatangaza utafunga nchi nzima hata ushinde mara 1000000 nchi huipati
 
Maccm yameanza kuogopa mapema sana

Mkuu umeona hoja ya kitoto inayotoka kwa wapenzi waandamizi wa CCM?
Ni sawa na mechi ya fainali inakuja kati ya Real Madrid na Bacelona. Halafu wapenzi wa Bacerlona wanakuja na ushauri kuwa kocha wa Madrid hana sababu ya kumpanga Ronaldo kwa vile sio mchezaji mzuri ndio maana hata mechi iliyopita hakufunga. Tena wanaendelea kuwaonya kuwa kama wanataka ushindi ni heri wasimchezeshe kabisa Ronaldo ndio wataweza kuishinda timu yao ya Bacerlona.
Ushauri kama huo hata mtoto mdogo anaelewa unamaanisha nini kutoka kwa wapenzi wa Bacelona. Ndio mtoa mada anayesema ili kukishinda chama chake kipendwa basi UKAWA wasimsimamishe Dr Slaa bali ili washinde yeye anapendekeza labda Letsia Nyerere au Shibuda. Ha ha ha!
 
Tukishinda tena lazima tuingie ikulu kwa gharama yoyote. Arobaini ya majizi mccm imekaribia
 
Upo ushahidi wa kutosha kwamba mwaka 2010 Dr Slaa alishinda Uraisi akachakachuliwa. Kuna uhakika 100% mwaka huu Dr Slaa atashinda uraisi maana CCM hakuna mtu wa kupambana naye kama yupo atajwe tumjue. Kwa hiyo ni ukweli usiopingika kwamba Dr Slaa anakubalika nchi nzima.

Mungu akulinde sana .
 
Wagombea CCM s/mitaa walikuja na maneno hayohayo.Kawaulize wanavyojifungia majumbani mwao kwa aibu,na bado.
 
Mwl Nyerere alisema katika moja ya hotuba sake maarufu kuwa mgombea wa ccm laxm achujwe kwan akishatangazwa huenda umemtangaza raisi.

Slaa wananchi watanganyika nazanbibar walimkataa na bado kama UKAWA watajichanganya basi CCM itapita km kupita bila kupingwa.

Slaa 2010 alidaiwa kuwa na mafungamano mazito na waajiri wake wa mwanzo jambo ambalo lilisaidia kutoka kwa waraka kwa waamini namna ya kupata viongozi wao. hill bado lipo na ndio maana CHADEMA imepigwa Zanziba, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Tabora nk.

Slaa ni kiongozi Mwenye jazba intolerant na hawezi kucompromise. ukisikiliza speech zake anaamini akishika madaraka karb nusu ya watu atawafunga. anawatuhumu marais wastaafu mawaziri, polisi,jeshi,usalama wa taifa, majaji sasa km utafukuza polisi, usalama wa taifa,utafunga viongozi wastaafu hueezi baki salama mfano mzuri ni misri . raid Mandela angekuwa km Slaa Leo dunia isingemkumbuka kwani alisamehe na kuridhiana.

Slaa ni MTU asiependa kupingwa wala kukosolewa na mfano mzuri ni suala LA zito. namna Kikwete anavyokosolewa lakini anavumilia ingekuwa padri slaa wengi wangekua magerezani. kiongozi gani anapenda tu kusikia akisifiwa tu basi.ukileta hoja ya udhaifu wake unakuwa labelled msaliti na unafukuzwa.

Slaa hawezi kuongoza nchi hoi labda mtaa wa Ufipa.
cc UKAWA
cc Mbatia
cc prof Lipumba
cc Makaidi

argue don't shout!!!!!

Tanzania ya leo iliyoathiriwa na ugonjwa wa tezi dume,inamhitaji sana mtu kama Dr Slaa awe Rais hata kama ni kwa mwezi mmoja ili aweze kuiweka kwenye mstari. Watanzania tunajuta kuchagua kwa kuangalia uzuri wa sura kuliko utendaji. Na ndicho tulichovuna. Nchi inahitaji Rais wa kulipa visasi ikiwezekana kunyonga viongozi wote wastaafu ili wengine wajifunze kuwa unatakiwa kuwatumikia watu na si kuuza nyago Ikulu na ufisadi.
 
umeongea utopia mtupu kumhusu huyu bwana! Kama tunataka hii nchi itoke hapa tulipo basi ni lazima tupate mtu anaeuchukia ufisadi kwa kiwango cha juu sana.na kwa sasa ktk wanasiasa waliopo mmoja wao alionyesha hilo kivitendo ni slaa. Na maana ccm wakisikia jina lake tu, utasikia mara ooh huyu padri, mara oooh kaoa mke wa mtu n.k vitu ambavyo ni non sense.

2010 JK alivyosikia mgombea wa Chadema ni Dr Slaa akaanza kutetemeka mpaka akaanguka pale jangwani. Baada ya kuwekwa sawa kisaikolojia ndiyo akawa kidogo hatetemeki lakini katika muda ambao JK alikuwa na hali ngumu ni 2010, moyoni mwake anajua Dr Slaa ni noma mpaka midahalo JK alisepa.
 
slaa hawezi kuwa rais kwanza ni mzinzi pia hana uzoefu na mambo ya siasa za kimataifa he is just local politician asiye na msaada kwa watanzania.....
 
Maccm na mafisadi. Muda wote wanamuota dr. Slaa. Majungu na chuki haziishi huko lumumba juu yake!

Huyu ndiye kiongozi haogopwaye zaidi CCM hasa baada mwl Nyerere (RIP) kumtabilia Urais kabla Nyerere hajafa.
 
Back
Top Bottom