You are the one shouting, not arguing. Slaa won the election, but your CCM won by army. If you want to know the truth go ask Mwamunyange. Slaa is a of the people.
Unapoongelea wezi wa aina ya Richmond na escrow lazima uwe na Jazba hata Lipumba huwa anakasirika. Ila ujue Slaa will not be alone like Prof. and Riz-two, he will be sarounded by other great thinkers.
In general watu wa CCM mkisikia jina Slaa yanagonga pichu. Na tutawafunga wezi wote.
Mleta Maada unaonekana kabisa we we ni zao au mtoto wa mafisadi. Mafisadi yanaogopa sana kwenda jela. Kama umeiba pesa za selikari eti a compromise! Stupid kabisa, we need a man who cannot compromise usitishie watu na mifano ya Misri, mbona Zambia wastaafu maraisi wamefungwa na pako shwari? Nyie ibeni tu mjue kabisa hata Mimi ningeshinda uraisi ningefunga jela wote ambao wametuhumiwa, yaaani kitendo cha kutuhumiwa ni jela tu huku kesi yako ikisikilizwa taaratibu. Jueni kabisa wizi ni Criminal Offence ambayo huwaga haiozi hata miaka mia mbele, siumeona Marekani Cosby mchekeshaji ana kesi yakubaka alibaka akiwa na miaka 20 anashitakiwa Leo. Things will never be the same.....etii kucompromise, unaiba Esikuroo afu eti unakompromise??
Niliwahi kuwauliza wataalamu wa masuala ya Elimu, "Kwanini hesabu /hisabati ni somo muhimu sana na linapewa kipaumbele duniani kote?". Walisema somo hili huwajenga watu kufikiri kwa mantiki. Mfano kwa nini 1+1 sio 11 bali ni 2. Taifa lenye kudharau somo hili hujikuta watu wake wengi hawana uwezo wa kupambanua mambo kwa kina na hujenga hoja za hovyo zisizo na mashiko. Mleta uzi huu ni matokeo ya mfumo wetu mbaya wa elimu. Mfumo unaowajenga watu kujadili watu na matukio badala ya "masuala". Mfumo unaowajenga watu kushabikia wezi /mafisadi na mafisadi nao kujigeuza mashujaa.
hutaki kuchangia ondoka sio unawalilia mods km VP pandisha Uzi WK hu upotezee si lazm ukoment
Zaidi ya yote ahadi anazotoa hazina msingi wa kiuchumi. Anaahidi mambo ambayo hahatekelezeki. Mabati Saruji nk. Ili tu apate kura. Bei ya mabati au saruji haipangiwi Ikulu. Hupangwa kutokana na gharama za uzalishaji.
Mwl Nyerere alisema katika moja ya hotuba sake maarufu kuwa mgombea wa ccm laxm achujwe kwan akishatangazwa huenda umemtangaza raisi.
Slaa wananchi watanganyika nazanbibar walimkataa na bado kama UKAWA watajichanganya basi CCM itapita km kupita bila kupingwa.
Slaa 2010 alidaiwa kuwa na mafungamano mazito na waajiri wake wa mwanzo jambo ambalo lilisaidia kutoka kwa waraka kwa waamini namna ya kupata viongozi wao. hill bado lipo na ndio maana CHADEMA imepigwa Zanziba, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Tabora nk.
Slaa ni kiongozi Mwenye jazba intolerant na hawezi kucompromise. ukisikiliza speech zake anaamini akishika madaraka karb nusu ya watu atawafunga. anawatuhumu marais wastaafu mawaziri, polisi,jeshi,usalama wa taifa, majaji sasa km utafukuza polisi, usalama wa taifa,utafunga viongozi wastaafu hueezi baki salama mfano mzuri ni misri . raid Mandela angekuwa km Slaa Leo dunia isingemkumbuka kwani alisamehe na kuridhiana.
Slaa ni MTU asiependa kupingwa wala kukosolewa na mfano mzuri ni suala LA zito. namna Kikwete anavyokosolewa lakini anavumilia ingekuwa padri slaa wengi wangekua magerezani. kiongozi gani anapenda tu kusikia akisifiwa tu basi.ukileta hoja ya udhaifu wake unakuwa labelled msaliti na unafukuzwa.
Slaa hawezi kuongoza nchi hoi labda mtaa wa Ufipa.
cc UKAWA
cc Mbatia
cc prof Lipumba
cc Makaidi
argue don't shout!!!!!
Slaa toka alivyonitapeli pesa niliyomchangia harusi yake, sina hamu nae
Tuwekee risiti uluyochangia hiyo harusi. Buku saba ya Lumumba haikutoshi kula na kuchangia harusi.