Kwanini wanamke baadhi mnashindwa haya?

Kwanini wanamke baadhi mnashindwa haya?

JUHUDI ,UJUZI NA MAARIFA TUNAVYOVIONYESHA KWENYE KURIDHISHANA KIMAHABA KAMA TUNGEVIELEKEZA KWENYE UJENZI WA TAIFA....NADHANI SASA HIVI TUNGEKUWA TUNASIFIKA KWA KUGAWA MISAADA KWA MAREKANI NA UCHINA.....
Slogan ya MSINGI KIUNO imetuathiri sana kama taifa
 
JUHUDI ,UJUZI NA MAARIFA TUNAVYOVIONYESHA KWENYE KURIDHISHANA KIMAHABA KAMA TUNGEVIELEKEZA KWENYE UJENZI WA TAIFA....NADHANI SASA HIVI TUNGEKUWA TUNASIFIKA KWA KUGAWA MISAADA KWA MAREKANI NA UCHINA.....

Kwakweli hata akili inayotumika ktk kutafuta njia za kuridhishana ni ya hali ya juu sana
 
Mkuu wewe ni wakike au kiume?
.
Je nani alizaliwa anajua?,kwa nini wao usipowaridhisha wanakwambia hajaridhika?.

Nani mwenye jukum la kuwafundisha?.

Kazi ya unyago na jando ni nini?,Hujiulizi kwenye vicheni pati wanaenda kufanyaje?.

Hatupo hapa kumkashifu mtu,tupo hapa kuambiana ukweli ili watu wabadilike?.

Samahani mkuu kama mada imekugusa lakini ndio ukweli huo.
Kitchen party tunafundishwa mapishi na kupewa vyombo
 
Kwanza iyo namba moja iyo mtoa mada embu elezea vizur ni wakati gani unatakiwa ukatikie uwo mpini maana ukitoa somo utoe somo loote tuelewe vizuri kama una lengo la kutubadilisha
 
Kwa thread hii ukipona namba flani basi namba flani umo, ila ndo ukweli wenyewe, na pia MTU mzima akivuliwa nguo huchutama.
Hah hah umenifanya nianze kucheka na kuanza kujiasses nipo namba ngapi
 
Kuna watu yaani wao siku zote wako kujipendekeza upande flani wa ke. Nahisi huwa wanamslahi flani si bure...na hao watu ukichunguza comment zao zote ziko kutetea ke.

Kwenye ukweli lazima waambiwe...
 
Kama kuna watu wapumbavu duniani basi ni baaadhi ya wamnaume, hawa wanawake tunaowaponda kila siku mitandaoni bila wao leo tusingekuwa hapa tulipo leo
kiongoz hapo kidogo uwezo wako wa kufikiri umepooza,Wao kua wazazi wetu haimaanishi hawana mapungufu,kikubwa wayafanyie kazi.suala la ss kuwapo kupitia wao ni mpango wa MUNGU,kama isingekua ivo,MUNGU angefanya yake,kwani binaadam wa kwanza namaanisha Adam,mama ake nani??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom