Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,747
- 12,462
ndo inavyotakiwa hivyo, ukikaa na jambo rohoni utakonda bure, hit 'em badlyMkuu ujumbe hakika umetumwa na umewafikia.
ndo inavyotakiwa hivyo, ukikaa na jambo rohoni utakonda bure, hit 'em badlyMkuu ujumbe hakika umetumwa na umewafikia.
Hakika mkuundo inavyotakiwa hivyo, ukikaa na jambo rohoni utakonda bure, hit 'em badly
"Wafrika ni wavivu na pia wanawaza ngano".Shikamoo Donald Trump
Yan mtoa mada umegusa penyewe nataman km wanawake wote wangekuwa na uwezo wa kuifikia jf...wangeelewa wanaume tunataka nn..huu ni ukweli mtupu!!..wanawake badilikeni hasa ile tabia ya nimechoka bhana fanya fasta nisepe zangu hasa akiwa hajatatuliwa shida ya hela...halafu inaboaa eti muda wa mambo..gf/mchumba anaanza na shida zake ooooh mara weaving mara kucha mara ile simu imeharibika mara.....mnaudhi mbadilike tofauti na hapo mmmmmmmh..2016..badilikeni
Unapoteza muda bure, mwambie huyo huyo uliyemwona kuliko kulaumu humu.Mkuu wewe ni wakike au kiume?
.
Je nani alizaliwa anajua?,kwa nini wao usipowaridhisha wanakwambia hajaridhika?.
Nani mwenye jukum la kuwafundisha?.
Kazi ya unyago na jando ni nini?,Hujiulizi kwenye vicheni pati wanaenda kufanyaje?.
Hatupo hapa kumkashifu mtu,tupo hapa kuambiana ukweli ili watu wabadilike?.
Samahani mkuu kama mada imekugusa lakini ndio ukweli huo.
Kwa nini useme niliemuona na sio nilio waona?Unapoteza muda bure, mw,ambie huyo huyo uliyemwona kuliko kulaumu humu.
Wafundishe, add value
duh, poleni sana kwa mnaokosa uhondo kwenye suala Zima la "relationship" ni vizuri kuwaambia msiishi na wapenzi wenu kama vile dada zenu, mpenzi wako anatakiwa kuwa rafiki yako, kwa hiyo kuwa huru kumwambia chochote.
duh, poleni sana kwa mnaokosa uhondo kwenye suala Zima la "relationship" ni vizuri kuwaambia msiishi na wapenzi wenu kama vile dada zenu, mpenzi wako anatakiwa kuwa rafiki yako, kwa hiyo kuwa huru kumwambia chochote.
Aliyasema jana Hose girl humu humu JF.mbona yenu hm yasemi?
Uliowaona.Kwa nini useme niliemuona na sio nilio waona?
Umejuaje kama napoteza muda?, na kama ni hivyo wewe una okoa muda?.
Nani kakwambia nalaumu?, na kama nihivyo kwa nini wewe usiache kulaum pia?.
Nimeposema wanawake baadhi umeelewaje wewe?.
Mkuu tafadhali kama unaona mada hii haikufai sio lazima ucomment.
Pole sana.
Nakupa pole wewe ambae unaona kila anae comment humu anapoteza muda.Uliowaona.
Pole wape hao hao
Mwanaume ni nani labda?Nakupa pole wewe ambae unaona kila anae comment humu anapoteza muda.
Inawezekana na wewe upo kwenye hao wanawake baadhi ambao hawajui wanaume wanataka nini,wawapo sita kwa sita.
Pole sana mkuu.
Umeongea bonge la pointduh, poleni sana kwa mnaokosa uhondo kwenye suala Zima la "relationship" ni vizuri kuwaambia msiishi na wapenzi wenu kama vile dada zenu, mpenzi wako anatakiwa kuwa rafiki yako, kwa hiyo kuwa huru kumwambia chochote.
Hiyo number moja ya kutokatikia ukuni eti kama una kibamia akikata kibamia na chenyewe kinatoka. Kazi inakuwa tena sio ku... Bali kurudishia kibamia ndani muda wote.
Tuna shida sisi wanaume.
Mkuu inategemea na huyo mwanamke,wapo pia wanaoona hata nchi nane ni kibamia.Hiyo number moja ya kutokatikia ukuni eti kama una kibamia akikata kibamia na chenyewe kinatoka. Kazi inakuwa tena sio ku... Bali kurudishia kibamia ndani muda wote.
Tuna shida sisi wanaume.
Unaelewa maana ya neno "baadhi",nani analia humu?.Dont generalize the problems! Kama ulikutana na mabanzi yasiyoweza hata kutwist viuno sio wote!
Utafit wako kama umeufanyia secondary unategemea nini? Ni aina gani za wanawake uliodate ukakuta yote hayo? Mbona hata nyie midume mpo msioweza romance mnarukia tuu kama mbuzi! Hata mkatiwe viuno feni hamu appreciate! Acha wawapege tu bivyo ivyo ila naamini mwanamke kwa mwanaume anayempenda anayafanya yote! Sasa kama wewe kimchepuko na unalilia haya utangoja saaana!